Kamanda MBOWE Vs Dr SLAA

Status
Not open for further replies.

Akili taka
 
Kura za Uraisi 2005 na 2010 zinawatofautisha kwa sana tu. Idadi ya Wabunge wa kuchaguliwa na hata viti maalum 2005 na 2010 vinawatofautisha pia. Nguvu ya sasa ya CHADEMA na ile ya 2006 ni tofauti nyingine kubwa. Mvuto kwa watu kwenye mikutano, maandamano ya Dr Slaa wala hauwezi kuilinganisha na ile ya Freeman. Ukiwauliza CCM kama kuna kosa kubwa waliwahi kufanya kwenye vikao vyao ni lile la kumnyima Dr Slaa ugombea wa Ubunge Karatu mwaka 1995. Mbowe sijawahi kusikia kama alikuwa CCM. Wote wawili JKT walikwenda?
 
Walikataa matokeo halafu wakakubali,you either recognize the government or not!Thats first.
Now if you recognize the government,are you going to support it or be against it?
if you support it,then you give advice on how to solve this energy issue,how to lower food prices and how to control the price inflation that we are facing.Tell us how to make this life better,how!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…