bluecolour
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 201
- 98
Hatimaye Kitendawili Cha Nani Atamrithi IGP MWEMA Kimeteguliwa Baada Ya Kamanda Mwandamizi Ernest Mangu Kuteuliwa Kuwa Mkuu Mpya Wa Jeshi La Polisi... Kwa Mujibu Wa Taarifa Kutoka Magogoni Jioni Na Kusainiwa Na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue Ombeni Mh. Jakaya Kikwete Ameteua Jina La Mangu Katika Majina Matatu Yaliwasilishwa Mezani Mwake Akiwa Na Diwani Athuma Na Thobiasi Andengenye.. HONGERA KAMANDA MANGU NA ONESHA ULIMWENGU KUWA JK HAKUKOSEA KUKUTEUA WEWE..,