Nimesoma kwenye Tanzania daima kuwa Kamanda Lema ataanzia mzunguko wake Dar, tukiwa wapenda mageuzi na watamanio haki kutawala ktk nchii, tunaomba tarehe iwekwe wazi mapema ilikuanza uhamasishaji wa kumpokea Kamanda wa kweli!!
Nimesoma kwenye Tanzania daima kuwa Kamanda Lema ataanzia mzunguko wake Dar, tukiwa wapenda mageuzi na watamanio haki kutawala ktk nchii, tunaomba tarehe iwekwe wazi mapema ilikuanza uhamasishaji wa kumpokea Kamanda wa kweli!!
Karibu sana kamanda, usisahau moro huku kwani huyu gamba abood kashajisahau sana alafu pia na kule kwetu Tabora uje tumtoe al shababy Rage´
bravo kamanda lema.
Nimesoma kwenye Tanzania daima kuwa Kamanda Lema ataanzia mzunguko wake Dar, tukiwa wapenda mageuzi na watamanio haki kutawala ktk nchii, tunaomba tarehe iwekwe wazi mapema ilikuanza uhamasishaji wa kumpokea Kamanda wa kweli!!
Nimesoma kwenye Tanzania daima kuwa Kamanda Lema ataanzia mzunguko wake Dar, tukiwa wapenda mageuzi na watamanio haki kutawala ktk nchii, tunaomba tarehe iwekwe wazi mapema ilikuanza uhamasishaji wa kumpokea Kamanda wa kweli!!
Hivi ameacha mchezo waliomfundisha kule mahabusu au?maana nasikia ukishaanza ile huachi,mlio karibu nae hebu mchungezeni kimya kimya nyendo zake then mtumwagie info hapa kama kawaida yetu jf tuwe wa kwanza kujua
timid of minds,huku mwanza ndio wanao run rock city na wenyeji wanawakubali sana kwani wana uthubutu na ni creativity wazuri sana.usibishane na ukweli,utakua unajipotezea nafasi ya kuongeza siku za kuishi duniani na afya vilevile.piga hesabu wafanya biashara wakubwa kariakoo ni kabila gani,majumba ya mbezi na masaki,maisha bora kwa ujumla then calculate alafu usitupe jibu.