Alitakiwa kustafu Oktoba mwaka jana, tukaambiwa ameongezewa mwaka mmoja na Mkulu aliyepita kwamba watastafu wote.
Sasa tunauliza ni lini kamanda wetu huyu atastafu, maana amekuwa na utumishi uliotukuka ndani ya jeshi letu la polisi, mwaka alioongezewa ushatimia.
Wenye kujua karibuni mtujuze