Nilikutana na msichana mmoja wa kiarabu hivi kutoka Tunisia akasema anaishi dubai kwenye mtandao na mimi siishi bongo.
Naishi bara la Asia. Tukawa tunachati sana na na ikaonesha kama yupo interested na mimi na mimi nikawa interested sababu kiukweli alikuwa mzuri.
Sasa mda wa kuchati akawa ananiuliza nataka kuona nini toka kwake nikasema maziwa akanionesha yalikuwa saa sita mazuri kinoma baada ya hapo akanionesha papuchi na vitu kibao sasa na yeye akanomba aone uume wangu nikamuonesha kumbe mwenzangu alikuwa ananirekodi.
Sasa from no where akanitumia video yangu nikiwa uchi naonesha uume na link amepost you tube hiyo video.
Akasema nikitaka aifute natakiwa nimpe $2000.
Je wewe ungefanyaje maana huu mtihani nilioupata nadhani ndo utakao kuwa the biggest in my life.
Naishi bara la Asia. Tukawa tunachati sana na na ikaonesha kama yupo interested na mimi na mimi nikawa interested sababu kiukweli alikuwa mzuri.
Sasa mda wa kuchati akawa ananiuliza nataka kuona nini toka kwake nikasema maziwa akanionesha yalikuwa saa sita mazuri kinoma baada ya hapo akanionesha papuchi na vitu kibao sasa na yeye akanomba aone uume wangu nikamuonesha kumbe mwenzangu alikuwa ananirekodi.
Sasa from no where akanitumia video yangu nikiwa uchi naonesha uume na link amepost you tube hiyo video.
Akasema nikitaka aifute natakiwa nimpe $2000.
Je wewe ungefanyaje maana huu mtihani nilioupata nadhani ndo utakao kuwa the biggest in my life.