johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Kuna wale waliofika bungeni kwa mbeleko ya Shujaa Magufuli
Kuna wale waliojipitisha bila kupingwa
Kuna hawa Covid-19
Kuna wale waliounga Juhudi kwa mikataba maalumu
Wote hawa " The End" ni July 2025 au Wahamie Chadema
Sasa tunajenga CCM ya Wananchi
Ahsanteni kwa kunisikiliza
Mzee Mgaya
Kalenga, Iringa
Nimeikuta mahali fulani 😂😂
Kuna wale waliojipitisha bila kupingwa
Kuna hawa Covid-19
Kuna wale waliounga Juhudi kwa mikataba maalumu
Wote hawa " The End" ni July 2025 au Wahamie Chadema
Sasa tunajenga CCM ya Wananchi
Ahsanteni kwa kunisikiliza
Mzee Mgaya
Kalenga, Iringa
Nimeikuta mahali fulani 😂😂