Kama wewe ni makini?

Umasikini ni fikra tu iliyowekwa na mabepari kukufanya ununue bidhaa kutoka kwao ili uthibitishe wewe siyo masikini.

Kama una afya njema, unakula, unalala, una demu, hauombi ombi, mengine ni majaaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…