Kama wao hawajateua, sisi tumeshakupitisha Mzee Lowassa piga jaramba baba

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
18,610
23,067
Kutoka na hali inavyoendelea na rais anaonekana kutoka kwenye mstari na kutetea mambo kinyume cha sheria na utawala bora,

Ni dalili ya dhahiri rais wetu amechoka kimwili mpaka kiakili ni kipindi kama hiki mtangulizi wake alisema anajuta kwa nini aligombea urais sasa yeye anaonekana amechoka mwili mpaka akili ndani ya mwaka na nusu mawazir na makatibu wameshabadilishwa kama nguo hiyo ni dalili tosha kuonyesha amechoka,

Kipimo cha mtu aliechoka na jambo ni hasira hivyo mzee lowassa jiandae baba kuchukua nchi time yeyote mkulu atanyoosha mikono kama hatovumilia kwa miaka 5.

Hakulazimishwa kuchukua fomu alikwenda peke yake dodoma

Lowassa chukua nchi tule nema
 
Lowassa hana tena mvuto kama 2015 hilo lazima mlikubali. Kwa kifupi hana jipya atarudia tu vipaumbele vyake vilevile ....
1.Elimu
2.Elimu
3.Elimu. .....

Halafu mazingira ya kisiasa yatachangia Lowasa kushindwa kwa kishindo, nani asiejua Jamaa alivyoinvest uchaguzi uliopita ndani ya Ccm na alivyokosa aliamua kama mjasiriamali anavyotakiwa kuwa Risk Taker. Wapenzi wa Ukawa mkifanya tathimini mzingatie na hayo msiende kimahaba niue na kuishi kwa safari yenu ya matumaini.
 
Kutoka na hali inavyoendelea na rais anaonekana kutoka kwenye mstari na kutetea mambo kinyume cha sheria na utawala bora,

Ni dalili ya dhahiri rais wetu amechoka kimwili mpaka kiakili ni kipindi kama hiki mtangulizi wake alisema anajuta kwa nini aligombea urais sasa yeye anaonekana amechoka mwili mpaka akili ndani ya mwaka na nusu mawazir na makatibu wameshabadilishwa kama nguo hiyo ni dalili tosha kuonyesha amechoka,

Kipimo cha mtu aliechoka na jambo ni hasira hivyo mzee lowassa jiandae baba kuchukua nchi time yeyote mkulu atanyoosha mikono kama hatovumilia kwa miaka 5.

Hakulazimishwa kuchukua fomu alikwenda peke yake dodoma

Lowassa chukua nchi tule nema
Bangi zakuvutia chooni mbaya sana pole wee!
 
Mkimweka Lowasa 2020 itakuwa anguko kubwa.
Someni alama za nyakati na saikolojia ya watu.
Mtatufanya wengi tusipige kura. Siipendi CCM wala simchukii Lowasa, lkn kiti cha urais awekwe mwingine 2020
 
Lowassa hana tena mvuto kama 2015 hilo lazima mlikubali. Kwa kifupi hana jipya atarudia tu vipaumbele vyake vilevile ....
1.Elimu
2.Elimu
3.Elimu. .....

Halafu mazingira ya kisiasa yatachangia Lowasa kushindwa kwa kishindo, nani asiejua Jamaa alivyoinvest uchaguzi uliopita ndani ya Ccm na alivyokosa aliamua kama mjasiriamali anavyotakiwa kuwa Risk Taker. Wapenzi wa Ukawa mkifanya tathimini mzingatie na hayo msiende kimahaba niue na kuishi kwa safari yenu ya matumaini.
Itafahamika kwani 2015 ndio 2020
 
Mkimweka Lowasa 2020 itakuwa anguko kubwa.
Someni alama za nyakati na saikolojia ya watu.
Mtatufanya wengi tusipige kura. Siipendi CCM wala simchukii Lowasa, lkn kiti cha urais awekwe mwingine 2020
Saikoloji wote wamechoka sura za watanzania zinataka mabadilko ya kiuchumi sio ya kumfukuza sophia na madabida
 
Saikoloji wote wamechoka sura za watanzania zinataka mabadilko ya kiuchumi sio ya kumfukuza sophia na madabida
Halafu eti "NCHI YA VIWANDA" wakati nchi haina mission wala vision.
Ningekutana na pombe ningemuuliza aniambie falsafa ya nchi yetu kwa sasa.
 
Back
Top Bottom