Kama wanaume tungeacha ulevi na uzinzi, Maana yake starehe upande wa maisha yetu yangekuwa bora zaidi sana. Kila mwanaume angekuwa na uwezo wa kuhendesha familia yake vizuri! Kwa mfano wale ambao wanapata pesa kwa njia ya ushirikina huwa wanapewa masharti magumu kama vile Wasinywe pombe, Awe na mke mmoja tu yaani asifanye uzinzi, Na mganga anamwambia ukinywa tu pombe au ukifanya uzinzi unafilisika. Jamaa akitoka kwa mganga anajibana kweli, anajizuia kunywa pombe na uzinzi anaacha baada ya muda jamaa anatajirika, kumbe mganga anacheza na kubana matuzi kwa kuweka sheria. JE KAMA TUKIACHA STAREHE TUTAFIKA WAPI WANAUME?Si tutatajirika wote. Maoni kwenu wadau.