Kama wananchi tuendelee kuamini scripts za porojo na uzushi kuhusu Oct 29, 2025 au tusubiri matokeo ya tume huru ya uchunguzi?

Kama wananchi tuendelee kuamini scripts za porojo na uzushi kuhusu Oct 29, 2025 au tusubiri matokeo ya tume huru ya uchunguzi?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,823
Licha ya kwamba inafahamika wazi kwamba, tayari kipo chombo mahususi cha kisheria kilichoundwa na mtukufu rais ili kuondoa utata na sintofahamu juu ya jambo hilo, na kuipa tume hiyo jukumu la kutafiti, kuchunguza na hatimae kubainisha ukweli au uzushi kuhusu kilichodaiwa kutokea baada ya uchaguzi mkuu huru, wa haki na wa wazi uliofanyika kwa amani na utulivu mapema Oct.29.2025.

Pamoja na hayo, lakini bado kuna wadau mbalimbali wa JF, tena wa heshima kabisa na wengine kutoka mitandao mbalimbali ya kijamii, bila haya, woga wala aibu wanaendelea kutunga stori na habari mbalimbali zisizo na uthibitisho juu ya hicho ambacho wengi kwasasa wanaona ni kama porojo, uongo na uzushi wa kutafuta uamarufu wa kisiasa, tension au useless public sympathy. Inaaminika hivyo kwasasa kwasababu kila mtunga hiyo porojo anakuja na script yake na takwimu zake amabazo ni za kutunga na zisizo na uthibitisho wowote tena zikiwa tofauti kabisa na mtunga porojo mwingine kuhusu jambo lilelile.

Wananchi wengi wanahoji, hivi kulikoni hawajawahi kuona matanga hata moja ya wanachodai kutokea october au kuona majeruhi moja tu wa athari za wanachozusha kutokea? Picha za kutengeneza sisizo na maelezo au habari yenye utata vimezidi kutia mashaka zaidi dhidi ya porojo na uzushi huo unaochakatwa na kusambazwa na hasa mamaluki wa vibaraka wa mabwenye ya magharibi.

Kongole nyingi sana ziviendee vyombo vya habari vyote nchini ikiwa ni pamoja na magazeti, kwa weledi wao katika jukumu la kuandika, kuchakata na kutoa habari mbalimbali nchini hasa za october na kukataa kua sehemu ya kuhadaa wananchi kwa habari za uongo na uzushi hasa kuhusu oct.29.2025.

Ni muhimu sana kama wananchi wazalendo, kua wastahimilivu na wenye subra wakati ukweli ukibainishwa na tume huru ya uchunguzi, huku sote tukijiepusha na uzushi unaosambazwa na wasiolitakia mema Taifa letu.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Acha uchawa na roho za watu.

Huyu unaye mfanyia uchawa/ mtukuza hana uwezo wa kuishi milele.
jifunze kuupokea ukweli bila mihemko gentleman,

hakuna haja ya kung'ang'ana na kubebwa ufala wa kifikra kilofa hivyo kwa uzushi wa october mwaka uliopita :1Head:
 
Kuna mwenye akili timamu anatarajia "..yasiyo na shaka" kweli?
Gentleman,
kwahiyo wananchi wang'ang'ane na kuamini uzushi na porojo za mamaluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, right?:1Head:
 
Gentleman,
kwahiyo wananchi wang'ang'ane na kuamini uzushi na porojo za mamaluki wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, right?:1Head:
Kilichotokea wala hakihitaji mtu mwenye akili timamu aambiwe nini kilitokea.
 
Kilichotokea wala hakihitaji mtu mwenye akili timamu aambiwe nini kilitokea.
kinahitaji tu uwe mamaluki uliebebwa ufala wa kifikra na alieshindwa kulipua sheli au ofisi ya umma ili kuamini huo uzushi right? :1Head:
 
jifunze kuupokea ukweli bila mihemko gentleman,

hakuna haja ya kung'ang'ana na kubebwa ufala wa kifikra kilofa hivyo kwa uzushi wa october mwaka uliopita :1Head:
Nilikuwa morogoro road najua Nini niliona

ENdelea kuandika ujinga wako,bahati nzuri wote tutakufa nyie endeleeni kuwa machawa wa mama.
 
Nilikuwa morogoro road najua Nini niliona

ENdelea kuandika ujinga wako,bahati nzuri wote tutakufa nyie endeleeni kuwa machawa wa mama.
unaweza usione na ukaimagine na ukatengeneza script imotional ya uzushi kwamba umeona porojo unayoyotaka kuaminisha wananchi ili hatimae sijui wakuonee huruma ama lah?

achani uzushi gentleman :1Head:
 
unaweza usione na ukaimagine na ukatengeneza script imotional ya uzushi kwamba umeona porojo unayoyotaka kuaminisha wananchi ili hatimae sijui wakuonee huruma ama lah?

achani uzushi gentleman :1Head:
Ok tufanya umeshinda
Hakuna aliyepigwa risasi October,nenda kaseme Kwa mama
 
Ok tufanya umeshinda
Hakuna aliyepigwa risasi October,nenda kaseme Kwa mama
sishindani na mamluki au mtu awae yeyote gentleman,

bali naeleza ukweli kwenye mamabo ya msingi tu, huku nikirekebisha uzushi na porojo nonsense kadiri zinavyoletwa humu jukwaani :1Head:
 
Mm niliowaona ni wale walioenda kuiba kiwanda cha magodoro kule machinjioni mhandu mwanza wakalipukiwa na gesi ya kiwandani wakawa vibambala ili kimambi apate pesa
mamluki ni watu wa hovyo sana na ni rahisi sana kubebwa ufala wa kifikra na kwenda kujiangamiza kilofa kabisa wenyewe :1Head:
 
Back
Top Bottom