Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,948
- 710
Sina hakika kama nina uvivu au nina makengeza wa kushindwa kutambua kile kilichodaiwa na kiongozi mmoja wa CUF. Katika madai hayo, kiongozi huyo (Naibu Katibu Mkuu wa CUF) Bw. Ismail Jussa Ladhu amesema hivi
Ni kweli tulipokuwa wapinzani, tulikuwa tukipiga kelele kuhusiana na matumizi mabaya ya mali za umma ikiwemo magari ya serikali kutumika kwa shughuli za kichama, leo CUF ni sehemu ya Serikali, hatuwezi kwenda kinyume na misingi ya utawala bora, hilo tumeliona, lakini tayari tumeshawataarifu mawaziri na Naibu mawaziri wote kutotumia magari ya serikali katika shughuli za kichama, alisema.
Kama kweli CUF wanalitambua hilo kuwa wao ni sehemu ya serikali, kwa nini wanadai kambi ndogo ya upinzani bungeni?? Huu so undumilakuwili?
You can't have both.
Ni kweli tulipokuwa wapinzani, tulikuwa tukipiga kelele kuhusiana na matumizi mabaya ya mali za umma ikiwemo magari ya serikali kutumika kwa shughuli za kichama, leo CUF ni sehemu ya Serikali, hatuwezi kwenda kinyume na misingi ya utawala bora, hilo tumeliona, lakini tayari tumeshawataarifu mawaziri na Naibu mawaziri wote kutotumia magari ya serikali katika shughuli za kichama, alisema.
Kama kweli CUF wanalitambua hilo kuwa wao ni sehemu ya serikali, kwa nini wanadai kambi ndogo ya upinzani bungeni?? Huu so undumilakuwili?
You can't have both.