Nazungumzia arusha na si kenya. Arusha ilitangazwa baada huyu boss wako kuibuka na mikakati ya fujo kila siku badala ya kutatua kero za wananchi, safar hii mtaendelea kuisoma namba
Mbona wanaoisoma namba ni nyie ccm wenyewe?
Nazungumzia arusha na si kenya. Arusha ilitangazwa baada huyu boss wako kuibuka na mikakati ya fujo kila siku badala ya kutatua kero za wananchi, safar hii mtaendelea kuisoma namba
ni mbunge wa kuzisha vurugu kila kukicha leo tena wamchague lema itadhihirisha arusha ni watu wajinga sana.
sishabikii kuwa wamchague fulani laah lakini si lema
Nasikia Ukiweka mkaa wa moto kwenye mfereji wa mackalio lazima uwe na mawqzo kama haya.
Mbeya mjini wataendelea kuisoma namba maana nao naona huwa wanashabikia ujinga, Nyamagana wenzao waliamka wakapiga mtu chini. Endapo Arusha watamchagua tena Lema nitawaona wendawazimu wa kutupwa, jamaa haleti maendeleo zaidi ya kushawishi fujo. Alafu ni mmmoja wq machizi yaliyokuwa yanampinga Magufuli, sasa ona kasi ya Magufuli, ATAWEZA KWELI LEMA KUMSAIDIA MAGUFULI KURUDISHA HESHIMA YA ARUSHA YA MJI WA KITALII?? SIDHANI, Lema hafai.
Mbeya mjini wataendelea kuisoma namba maana nao naona huwa wanashabikia ujinga, Nyamagana wenzao waliamka wakapiga mtu chini. Endapo Arusha watamchagua tena Lema nitawaona wendawazimu wa kutupwa, jamaa haleti maendeleo zaidi ya kushawishi fujo. Alafu ni mmmoja wq machizi yaliyokuwa yanampinga Magufuli, sasa ona kasi ya Magufuli, ATAWEZA KWELI LEMA KUMSAIDIA MAGUFULI KURUDISHA HESHIMA YA ARUSHA YA MJI WA KITALII?? SIDHANI, Lema hafai.
wewe ndo unafaa
ni mbunge wa kuzisha vurugu kila kukicha leo tena wamchague lema itadhihirisha arusha ni watu wajinga sana.
sishabikii kuwa wamchague fulani laah lakini si lema
Lema hafai. Achaguliwe yeyote, hata jiwe lakini sio Lema.
Siichukii chadema lkn Ku msuport lema ni ukichaa wa waziwazi.
Eti ukienda nyumbani kwa mtoa post watoto wanakuambia,baba yuko kazini!baba wenyewr ndiye huyu?mtumeeee!!ni mbunge wa kuzisha vurugu kila kukicha leo tena wamchague lema itadhihirisha arusha ni watu wajinga sana.
sishabikii kuwa wamchague fulani laah lakini si lema
ni mbunge wa kuzisha vurugu kila kukicha leo tena wamchague lema itadhihirisha arusha ni watu wajinga sana.
sishabikii kuwa wamchague fulani laah lakini si lema