Kama wakati ule waliona Senzo alikuwa sahihi sioni sababu ya Manara kuanza kutoa mapovu ya kutaka kocha afukuzwe

rodrick alexander

JF-Expert Member
Feb 12, 2012
15,211
20,199
Kuna kipindi Senzo akiwa mtendaji mkuu wa yanga alikwenda kuipokea timu kutoka south Africa ilikuja kucheza na Simba kwenye mashindano ya klabu ya klabu bingwa Afrika.

Kitendo cha Senzo kukutana na timu ya south Africa kabla ya mechi ya Simba kilichukuliwa kwa hisia tofauti, wakati washabiki wa Simba wakiona Kama hujuma wa yanga walitetea na kusema alikuwa akionana nao Kama mtu aliyekutana na ndugu zake waliotoka sehemu moja.

Kocha wa timu ya Taifa ambaye anatokea Algeria alienda kuipokea timu ya nchi yake inayotokea kwao iliyokuja kupambana na yanga na baadae kukutana nao hotelini.

Kitendo hicho kimemuibua Haji Manara na kutaka kocha huyo afukuzwe kwa sababu alivyofanya ni kuihujumu timu ya yanga ambayo ni ya Tanzania .

Kama wakati ule waliona Senzo alikuwa sahihi sioni sababu ya Manara kuanza kutoa mapovu ya kutaka kocha afukuzwe.
 
Kuna kipindi Senzo akiwa mtendaji mkuu wa yanga alikwenda kuipokea timu kutoka south Africa ilikuja kucheza na Simba kwenye mashindano ya klabu ya klabu bingwa Afrika.
Kitendo cha Senzo kukutana na timu ya south Africa kabla ya mechi ya Simba kilichukuliwa kwa hisia tofauti, wakati washabiki wa Simba wakiona Kama hujuma wa yanga walitetea na kusema alikuwa akionana nao Kama mtu aliyekutana na ndugu zake waliotoka sehemu moja.
Kocha wa timu ya Taifa ambaye anatokea Algeria alienda kuipokea timu ya nchi yake inayotokea kwao iliyokuja kupambana na yanga na baadae kukutana nao hotelini.
Kitendo hicho kimemuibua Haji Manara na kutaka kocha huyo afukuzwe kwa sababu alivyofanya ni kuihujumu timu ya yanga ambayo ni ya Tanzania .
Kama wakati ule waliona Senzo alikuwa sahihi sioni sababu ya Manara kuanza kutoa mapovu ya kutaka kocha afukuzwe.
Lakini Amrouche anawajua zaidi wachezaji wa ndani ambao sio tishio sana kwa Yanga,sidhani kama anawafahamu kina Pacome,aucho na wengine.

Ila ndo hivo,wakifungwa kesho kutwa wamepata kisingizo tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi Senzo akiwa mtendaji mkuu wa yanga alikwenda kuipokea timu kutoka south Africa ilikuja kucheza na Simba kwenye mashindano ya klabu ya klabu bingwa Afrika.
Kitendo cha Senzo kukutana na timu ya south Africa kabla ya mechi ya Simba kilichukuliwa kwa hisia tofauti, wakati washabiki wa Simba wakiona Kama hujuma wa yanga walitetea na kusema alikuwa akionana nao Kama mtu aliyekutana na ndugu zake waliotoka sehemu moja.
Kocha wa timu ya Taifa ambaye anatokea Algeria alienda kuipokea timu ya nchi yake inayotokea kwao iliyokuja kupambana na yanga na baadae kukutana nao hotelini.
Kitendo hicho kimemuibua Haji Manara na kutaka kocha huyo afukuzwe kwa sababu alivyofanya ni kuihujumu timu ya yanga ambayo ni ya Tanzania .
Kama wakati ule waliona Senzo alikuwa sahihi sioni sababu ya Manara kuanza kutoa mapovu ya kutaka kocha afukuzwe.
Angekwenda Benchika hili lisingekuwa hoja. Lakini kocha wa timu ya Taifa kwenda kupokea timu pinzani na timu ya Nchi anayofundisha linafikirisha.
 
Tumia Akili hata Mara moja Moja sio Dhambi.

Senzo Position aliyokua nayo ni CEO wa Yanga sio Team ya Taifa na Amrouche ni kocha wa Team Ya Taifa la Tanzania ambapo National Team anawachezaji wa Yanga...
Huyo Senzo alikua hadi CEO wa Vilabu Vingine?

ADEL Yule ni Taifa sio Club angekua Iman Kajula ameenda usingeona Mtu anapiga Kelele coz ni sehemu ya Utani na ni mtu wa club ambayo haina wachezaji wa kila Team.
 
Tumia Akili hata Mara moja Moja sio Dhambi.

Senzo Position aliyokua nayo ni CEO wa Yanga sio Team ya Taifa na Amrouche ni kocha wa Team Ya Taifa la Tanzania ambapo National Team anawachezaji wa Yanga...
Huyo Senzo alikua hadi CEO wa Vilabu Vingine?

ADEL Yule ni Taifa sio Club angekua Iman Kajula ameenda usingeona Mtu anapiga Kelele coz ni sehemu ya Utani na ni mtu wa club ambayo haina wachezaji wa kila Team.
Hahahahahaha...jamaa kaonesha umbumbumbu wake
 
Tumia Akili hata Mara moja Moja sio Dhambi.

Senzo Position aliyokua nayo ni CEO wa Yanga sio Team ya Taifa na Amrouche ni kocha wa Team Ya Taifa la Tanzania ambapo National Team anawachezaji wa Yanga...
Huyo Senzo alikua hadi CEO wa Vilabu Vingine?

ADEL Yule ni Taifa sio Club angekua Iman Kajula ameenda usingeona Mtu anapiga Kelele coz ni sehemu ya Utani na ni mtu wa club ambayo haina wachezaji wa kila Team.
Mkuu iyo akili aitolee wapi wakati Rage alishamaliza kila kitu
 
Tumia Akili hata Mara moja Moja sio Dhambi.

Senzo Position aliyokua nayo ni CEO wa Yanga sio Team ya Taifa na Amrouche ni kocha wa Team Ya Taifa la Tanzania ambapo National Team anawachezaji wa Yanga...
Huyo Senzo alikua hadi CEO wa Vilabu Vingine?

ADEL Yule ni Taifa sio Club angekua Iman Kajula ameenda usingeona Mtu anapiga Kelele coz ni sehemu ya Utani na ni mtu wa club ambayo haina wachezaji wa kila Team.
Kwahiyo kama ni taifa Kuna Sheria Gani inamzuia kuonana na ndugu zake?
Umejuaje labda Kuna mzigo aliwaagiza wamletee ukitokea nchini kwao?
Punguzen upimbi wenu nyie kapambaneni uwanjan mpate ushindi .
Mara nyingi mnaanza nyie Simba wakilalamika mnakua na sabab za kiwaki Sana ila yakiwageukia mharisha nchi nzima.

Kama Kuna kanuni au Sheria kakiuka huyo Kocha WA taifa atawajibishwa ila kama hakuna hizo kanuni wala Sheria tff hawawez kutumia hisia za manara et wamfukuze Kocha.
 
Kuna kipindi Senzo akiwa mtendaji mkuu wa yanga alikwenda kuipokea timu kutoka south Africa ilikuja kucheza na Simba kwenye mashindano ya klabu ya klabu bingwa Afrika.
Kitendo cha Senzo kukutana na timu ya south Africa kabla ya mechi ya Simba kilichukuliwa kwa hisia tofauti, wakati washabiki wa Simba wakiona Kama hujuma wa yanga walitetea na kusema alikuwa akionana nao Kama mtu aliyekutana na ndugu zake waliotoka sehemu moja.
Kocha wa timu ya Taifa ambaye anatokea Algeria alienda kuipokea timu ya nchi yake inayotokea kwao iliyokuja kupambana na yanga na baadae kukutana nao hotelini.
Kitendo hicho kimemuibua Haji Manara na kutaka kocha huyo afukuzwe kwa sababu alivyofanya ni kuihujumu timu ya yanga ambayo ni ya Tanzania .
Kama wakati ule waliona Senzo alikuwa sahihi sioni sababu ya Manara kuanza kutoa mapovu ya kutaka kocha afukuzwe.
Huyu kocha amekuwa na mienendo isiyoridhisha kuanzia kuelekea AFCON, huyu ni wa kutimua.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hata wewe unaonekana una akili za kuvukia Barabara tu.
Yaan watu wangekua wanaadhibu watu Kwa hisia basi wewe ungekua mifupa had saiz .
Zilitungwa Sheria na kanuni kuepuka mihemuka kama hii yenu
Rage hakukosea kuwaita mbumbumbu
 
Kuna kipindi Senzo akiwa mtendaji mkuu wa yanga alikwenda kuipokea timu kutoka south Africa ilikuja kucheza na Simba kwenye mashindano ya klabu ya klabu bingwa Afrika.
Kitendo cha Senzo kukutana na timu ya south Africa kabla ya mechi ya Simba kilichukuliwa kwa hisia tofauti, wakati washabiki wa Simba wakiona Kama hujuma wa yanga walitetea na kusema alikuwa akionana nao Kama mtu aliyekutana na ndugu zake waliotoka sehemu moja.
Kocha wa timu ya Taifa ambaye anatokea Algeria alienda kuipokea timu ya nchi yake inayotokea kwao iliyokuja kupambana na yanga na baadae kukutana nao hotelini.
Kitendo hicho kimemuibua Haji Manara na kutaka kocha huyo afukuzwe kwa sababu alivyofanya ni kuihujumu timu ya yanga ambayo ni ya Tanzania .
Kama wakati ule waliona Senzo alikuwa sahihi sioni sababu ya Manara kuanza kutoa mapovu ya kutaka kocha afukuzwe.
Manara yeye ni kama nani huko yanga!
 
Kwahiyo kama ni taifa Kuna Sheria Gani inamzuia kuonana na ndugu zake?
Umejuaje labda Kuna mzigo aliwaagiza wamletee ukitokea nchini kwao?
Punguzen upimbi wenu nyie kapambaneni uwanjan mpate ushindi .
Mara nyingi mnaanza nyie Simba wakilalamika mnakua na sabab za kiwaki Sana ila yakiwageukia mharisha nchi nzima.

Kama Kuna kanuni au Sheria kakiuka huyo Kocha WA taifa atawajibishwa ila kama hakuna hizo kanuni wala Sheria tff hawawez kutumia hisia za manara et wamfukuze Kocha.
kwamba kuna mizigo alikua ameagiza wamletee? unaishi dunia gani wewe?
 
Lakini Amrouche anawajua zaidi wachezaji wa ndani ambao sio tishio sana kwa Yanga,sidhani kama anawafahamu kina Pacome,aucho na wengine.

Ila ndo hivo,wakifungwa kesho kutwa wamepata kisingizo tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa kubwa ninalolaani ni lile la kunyanganya simu ya mwandishi mmoja wa habari na kufuta kila kilcokuwamo. Ina maana hakutaka ajulikane kuwa walienda kuwapoke na hapo nmdipo anpodhihirisha kuwa hakuwa na nia njema. Kitendo cha kunyangaya simu ya mwandihsi kingeweza kusababisha tafrani na uvunjaji wa amani
 
Back
Top Bottom