Mngurimi
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 819
- 789
- Thread starter
- #121
Hasikudanganye mtu kwa population ya mjini na miji midogo yote Tanzania wanajua kinachoendelea kupitia social Media. Simu janja nowadays ni Kama hitaji la lazima kwa maisha ya Sasa.
Nadhani strategy iwe ni kuifikia jamii ya vijijini ambayo kidogo inachangamoto ya kufikiwa.
Na ndicho nilichokimaanisha