Ndugu wapenzi;akika wengine labda atukujua nini maana ya urithi tukiwa wadogo..ila tunavyoona sasa hivi mmhhhh
mzee wetu mmoja amefariki kama mwaka uliopita;aliacha mali nyingi tu na nzuri za kuanzia maisha ..hakika watoto walikaribiana kuuana...kwenye mgao..jamani hivi sasa mkiwaona wale watoto mungu wangu..nilitamani hata wasingepata kitu ;labda wangekuwa mbali..mwenye nyumba kaenda kauza zote.mwenye gari kauza...yaani kama kungekuwa na urithi wa wanwake hakika nae anguzwa ......hivi sasa famili inaishi kama imeokotwa
Ndipo nikafikia kusema jaman kama na sema tena kama wanaoacha urithi wangeonyeshwa kile kinachofanyika baada ya kufa hakika akina angeacha urithi wowote...any way...ndio hivyo tumezaliwa tumeukuta ...ila akika mtakaopewa urithi jaribuni kulinda mali zenu na kuacha kuaibika
nawatakiwa kila la kheri warithi wote watarajiwa
mzee wetu mmoja amefariki kama mwaka uliopita;aliacha mali nyingi tu na nzuri za kuanzia maisha ..hakika watoto walikaribiana kuuana...kwenye mgao..jamani hivi sasa mkiwaona wale watoto mungu wangu..nilitamani hata wasingepata kitu ;labda wangekuwa mbali..mwenye nyumba kaenda kauza zote.mwenye gari kauza...yaani kama kungekuwa na urithi wa wanwake hakika nae anguzwa ......hivi sasa famili inaishi kama imeokotwa
Ndipo nikafikia kusema jaman kama na sema tena kama wanaoacha urithi wangeonyeshwa kile kinachofanyika baada ya kufa hakika akina angeacha urithi wowote...any way...ndio hivyo tumezaliwa tumeukuta ...ila akika mtakaopewa urithi jaribuni kulinda mali zenu na kuacha kuaibika
nawatakiwa kila la kheri warithi wote watarajiwa