Kama unahitaji king'amuzi bora nunua hiki

Kama unahitaji king'amuzi bora nunua hiki

Mby vp vitafunction? Channel gn za mpira zinapatikana humo?
 
ving'amuzi ni usumbuf tu.
mara no signal..... coz vinachagua bora dish ma ra 100.
nikinunua dar nikileta huku ni majanga xaca ya kaz gan........... bora dish mpango mzma
 
Wakati huu mfumo wa digitali unaanza kuingizwa nnchin, baadhi ya viongoz wa serikali walisema "hatutaona ule utitiri wa Antena ambao unachafua mandhari ya miji".

Nitakielewa king'amuzi (kisimbuzi) kile tu chenye kudaka mawinbi kupitia dish (satelite) tu. Hivi vya kutumia antena vinavyochagua mahali ulipo, kuelekezea antena cjui wapi, mara kwny milima sijui unatakiwa ufanyaje, I will not entertain and I would like my fellow tanzanians not to entertain them.

Challenge kubwa ya hivi visimbuzi vinavyotumia dish ni mbili tu:
Moja gharama (Ingawaje sio kubwa sana mana havipishani sana na vinavyotumia antena) na Mbili ni kwa wale wanaoishi kwenye nyumba za kupanga (hususani nyumba za kupanga zilizo na wapangaji wengi) kuwa na wakati mgumu wa kupata mahali na ruhusa ya ku-install hilo dish.

Yote kwa yote dish ndio mpango mzima, hawa wa antena wabadilike sasa. Chalenges are everywhere.

This is my opion, sorry mwenye uzi huu kama nimekuaribia biashara.

Excellent !
 
Ving'amuzi vingi vimekuwa ni kero kwa watanzania wengi, ila wana jf jaribu kununua king'amuzi cha sansan hakika hauta jutia, ina mfumo wa hdmi port, usb port, na utapata chanel zaidi ya 40 bila malipo ya mwezi baadhi ya chanels unazopata ni km itv,eatv,emmanuel tv,star tv,tbc,chanel 10,saudia, aljazera,capital na zinginezo, jaribu kugoogle (sansan receiver) utaona kwa maelezo zaidi waweza piga namba 0686 100071 au 0656 153151 kwa maelezo zaidi

Tujaribu? You can't be serious! Watu kwa kujaribu hivyo hivyo sasa wanavyo ving'amuzi vitatu vitatu. Laiti kama ungekielezea sifa zake nzuri ukaishia ningekuona wa maana sana, ila kumbe ni dealer na ni tangazo? wakati hii digital inakuja TCRA kupitia akina mrisho mpoto na banana zorro walitulaghai hivi hivi baadae ikawa ovyo sana. Ni heri hata analogi yetu, sio huu upuuzi wa kulazimishana karaha. Ni hayo tu ndugu zangu, ila sina lengo baya
 
Back
Top Bottom