Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Bomb making materialNaogopa hata kuuliza maana sijui bidhaa nayohitaji upo nayo mkuu
Bomb making materialNaogopa hata kuuliza maana sijui bidhaa nayohitaji upo nayo mkuu
Mkuu hiyo KKB ni nini.?Home theater KKB- laki 2.9
na bluetooth speaker zipo ndogo elf 55
Hahaa, wewe uliza mkuu, hili ni jungu kuu halikosi ukoko
Ungenitumia picha mkuu! nikiupenda tufanye biashara...Kingine huo mziki DVD na flash unatumia?Home theater KKB- laki 2.9
na bluetooth speaker zipo ndogo elf 55
KKB ni aina ya home theater, hiyo ndo ya bei ndogo zipo nyingine nzuri na imara zinazotrend ni hiziMkuu hiyo KKB ni nini.?
Na kama nahitaji hiyo home theater kwa Arusha inakuwaje kuupata mzigo
Mkuu KKB ni quality ya chini though inatumia,Ungenitumia picha mkuu! nikiupenda tufanye biashara...Kingine huo mziki DVD na flash unatumia?
Ok nimekuelewa....Kuhusu whatsapp sitatuma!Mkuu KKB ni quality ya chini though inatumia,
zipo nzuri Home theater LG ina speaker mbili ndefu
inauzwa laki 5na nusu, na panasonic ina
speaker nne ndogo inauzwa laki nne na
nusu...
Hizo zinatumia kilakitu na ziko na mfumo wa blueray...
Kuhusu picha tuma namba ya whatsapp pm
Haha, sasa si kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba? Au unataka uulizie zile bidhaa zilizopigwa marufuku?
Mkuu bajeti ya chini andaa laki 4, bajeti ya kati andaa laki 7, N.k... Cuz inategemea na friji unalohitaji na ukubwa unaohitaji, pia imategemea na mziki unaohitaji kama ni home theater au sabwoofaNahitaji Friji na Mziki kwa matumizi ya nyumbani wastani niandae bei gani
Hahahaha mi nilidhani utaulizia kitu gaaaani... Ah
Dada nakutaka!Naogopa hata kuuliza maana sijui bidhaa nayohitaji upo nayo mkuu
