Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,557
- 2,585
hii ni nouma..Ila mbuzi kagoma usifananishe na zote hizo!
hii ni nouma..Ila mbuzi kagoma usifananishe na zote hizo!
Story yako aiseee, Kwanza natafakari jinsi ambavyo ulivyokuwa na kifua Cha kuimili yote hayo, Mimi ndoa ingekufa siku ambayo ningefahamu yote hayo!!! Pole Sana ndgu jitahidi kufanya fanya na Ibada na Maombi MUNGU asimame Kati yenuTAFSIRI ISIYO RASMI
WANAWAKE
Mshahara wa Mke wangu ulikuwa ni siri kubwa mpaka siku nilipokuja kugundua ukweli
Mwaka 2016 aliniambia kuwa mshahara wake ulikuwa MK 350,000 Na miaka miwili baadaye, alipopandishwa cheo, nilimuuliza kuhusu mshahara wake na akasema, "Ee watu hawa, usiwajali kabisa. Wameongeza MK 100,000 tu kwenye mshahara wangu wa zamani”. Kwa sababu ya mshahara wake mdogo, nimekuwa nikichukua majukumu mengi ya nyumbani bila kulalamika. Ninalipia huduma zote na ninalipia chakula. Ninalipa ada za watoto wetu wawili, nawanunulia nguo, na kulipa bili zao za matibabu. Mke wangu anaponitumia orodha ya vitu vya kununua, anaongeza na pedi zake. Ananunua mavazi na nguo, akija ananionyesha, na kunitaka nilipie. Alianza kuzungumza kuhusu kuwa na gari wakati mtoto wetu wa pili alipozaliwa. Mambo hayakuwa mazuri kabisa kwa upande wangu kwa hivyo nilimtaka anipe muda. Alisema, "Nimejibana na kuhifadhi kitu kidogo. Ninaweza kuongezea kwenye kile ulicho nacho na utanilipa pindi ukipata pesa yako.”
Nilikubali na kupokea pesa hizo kutoka kwake, nikaongezea ili nimnunulie gari. Kwa miezi mitatu nilipata shida. Alikuwa akiamka alfajiri na kuniuliza nitamlipa lini pesa yake. Nilichoka na kumlipa pesa ingawa sikuwa na pesa nyingi katika akaunti yangu.
Jioni moja, niliwasha laptop yangu na kukuta barua pepe nyingi. Niliangalia vizuri na kugundua zilikuwa barua pepe za mke wangu ambazo zilikuwa zimesomwa. Nikamuuliza, "Je! Ulitumia laptop yangu?" Alijibu, "Ndiyo kuna kitu nilikuwa naangalia." Nilimwambia, "Basi haukufunga barua pepe yako." Alijibu, "Nimesahau. Tafadhali naomba uifunge.” Nilipokuwa nataka kuifunga kuna kitu kilinivutia. Niliona barua pepe iliyo na kichwa cha habari, "Pay Slip ya Januari." Nikaifungua na kuanza kuipitia. Nilipoona mshahara wake mkubwa, nilishtuka sana. MK 2,500,000? Na msichana huyu huyu amekuwa akilalamikia umasikini?
Nilipitia maelezo vizuri. Usiku huo sikuweza kulala kabisa. Nilikuwa na hasira. Nilihisi kukata tamaa. Nilihisi kusalitiwa. Nilihisi kuchezewa. Tumeowana kwa miaka sita sasa na mke wangu anapata pesa nyingi bila mimi kujua? Kiasi gani alichokuwa anapata hakikunisumbua sana kuliko jinsi alivyokuwa akitumia pesa hizo. Niliamua kutozungumza kwanza hadi baada ya kufanya uchunguzi kidogo.
Maisha yangu yote nimekuwa naona kwamba haikuwa sawa kwa mtu yeyote kupitia simu ya mwenza wake. Ni uvamizi wa faragha na huzaa kutokuaminiana katika uhusiano lakini usiku huo, kupitia simu yake ilikuwa ndiyo njia pekee ya kujua nilichokuwa nakihitaji. Nilianza na rafiki yake wa karibu. Hakuna chochote nilichogundua. Familia yake ilikuwa na group la Whatsapp. Nilisoma meseji zao. Nilipata vidokezo vichache. Nilipitia mazungumzo yake na baba yake na hapo ndipo nilipogundua kuwa mke wangu alikuwa amenunua ardhi na alikuwa ameanza kujenga. Baba yake alikuwa ndio msimamizi wa mradi huo. Alikuwa ametuma picha za hatua mbalimbali za jengo hilo. Kuna wakati, baba yake alisema, "Ashante kwa kumsaidia kaka yako. Angekuwa anahangaika tu hapa nyumbani kama usingekuwa wewe. ”
Mke wangu ana kaka mmoja tu — kaka yake mkubwa. Niliamua kuchunguza mawasiliano yao. Kaka yake mkubwa alikuwa amepoteza kazi na alikuwa yupo nyumbani tu hafanyi chochote kwa hivyo mke wangu alimnunulia Hyundai i10 ili aitumie kama Teksi. Kila wiki, kaka yake alituma akaunti na wakagawana pesa. Kwa yote niliyoyaona, mke wangu alikuwa akijifanyia mambo mazuri kwa upande wake huku akijifanya kulia njaa ili aweze kutegemea mshahara wangu. Kwa nini afanye hivyo? Nilidhani nilikuwa mume bora mwenye kumuunga mkono ili aweze kujivunia kuwa ameolewa na mume bora. Tuliponunua ardhi, ilikuwa na jina lake na langu lililonekana kwenye hati miliki ya ardhi. Hilo gari nilimnunulia kwa mkopo kwa jina lake. Sikujali. Niliamini kilicho chake ni changu pia.
Asubuhi iliyofuata aligundua kuwa sikuwa sawa. Nilikuwa nachemka ndani kwa ndani kwa hasira lakini nilikuwa natafuta nafasi nzuri ya kuanzisha mazungumzo. Nilipotulia kidogo, nilimuuliza, "Kwa nini unifanyie hivyo?" Aliuliza, "Nimefanya nini?" Nikajibu, “Umenunua ardhi, hukuwahi kuniambia. Ulianza kujenga, hukuwahi kuniambia. Ni lini unatarajia kuniambia? ” Alishtuka sana. Aliuliza, "Nani amekwambia yote hayo?" Nikasema, "Baba yako aliniambia." Alisimama kimya kwa muda. kaniuliza, "Kwa nini baba yangu akuambie yote hayo? Je! Mlikuwa mnazungumza nini hadi kuelezana yote hayo" Nikasema," Sijui. Unaweza kumuuliza. ”
Tuliishia hapo. Dakika kadhaa baadaye alikuja kwangu na simu yake: "Baba anataka kuzungumza nawe." Simu ilikuwa tayari imewekwa kwenye loudspeaker. Baba yake alikuwa na hasira. Aliniuliza, alikuwa kama anataka kupiga kelele kwa hasira, "Umesema nilikwambia binti yangu ana jengo? Nimesema wapi na lini? ” Nilimuuliza, "Je! Si kweli kwamba mke wangu ana mradi wa ujenzi unaoendelea ambao unausimamia?" Akaniuliza, "Nimekwambia hivyo?" Nikamuuliza, "Je! Ni kweli au si kweli?" Baada ya kujibishana kwa muda niliamua kuwaambia, “Nimesoma jumbe zenu jana usiku. Niliona picha. Nilisoma bajeti anuwai uliyokuwa umemtumia mke wangu. Nilisoma uthibitisho wa risiti za pesa ulizomtumia. Wewe ni mwanaume. Je! Utafurahi ikiwa mke wako atakufanyia hivi? ” Akaanza kuguna. Alianza kuomba msamaha akisema alidhani nilikuwa najua.
Mke wangu alisimama bila kusogea kama aliyepigiliwa misumali, hakujua nini cha kusema. Baba yake alipokata simu, nilimwambia kila kitu ninachojua, kuanzia mshahara wake hadi gari aliyomnunulia kaka yake. Nikasema, “Hata hivyo, hata pedi zako, ninanunua. Unafikiri mimi ni mjinga? Utatumia pesa zako kujinufaisha mwenyewe na kuishi kwa kutegemea zangu kwa sababu wewe ni mke wangu? Nasikia. Tutaona."
Imani ilipotea. Upendo ulivunjika. Tulilazimika kutafuta njia mpya ya kuishi maisha yetu. Baba yake alinipigia simu kila asubuhi na jioni akiomba msamaha kwa kila kitu na wakati mwingine kukubali lawama kwamba nisimlaumu binti yake. Nilimwambia, "Hali ya mhemko nilio nayo sasa hivi, itakuwa ngumu kufikiria sawa sawa au kukubali msamaha. Nipe nafasi.” Siku tatu baadaye, walikuja nyumbani kwetu. Baba, mama, na kaka mkubwa. Walikuja kuomba msamaha. “Usiruhusu jambo hili livunje ndoa nzuri mliyo nayo. Ikiwa haiwezekani kabisa, basi fikiria watoto na uwe mpole katika uamuzi wako. ”
Niliwasikiliza. Msimamo wangu bado ulikuwa vilevile. “Ninahitaji muda wa kutafakari. Niacheni nifikirie.” Kuanzia mwezi uliopita hadi wakati huu ninapoandika kuhusu jambo hili, mke wangu amebadilika kabisa. Haombi tena pesa lakini nyumbani mambo yanaendelea vizuri. Ameanza kulipia vitu ambavyo hakuwahi kulipia lakini hiyo hainibadilishi mtazamo wangu mpya. Amenipa somo kubwa sana na ninalichukua kwa uzito. Kwamba katika kila kitu, lazima nijiangalie mwenyewe na familia yangu kwanza. Mwishowe aliniambia, "Ikiwa unataka tubadilishe majina kwenye mali hizo, tunaweza kufanya hivyo." Hebu fikiria ni jina la nani liko kwenye mali hizo… jina la baba yake. "
Nilimwambia, "Huna haja ya kubadilisha chochote. Ni mali zako. Uliteseka kwa ajili ya hizo ili uweze kuamua ni nini unataka kuzifanyia.” Ardhi niliyonunua ina majina yetu. Ninaiuza na ninarudisha pesa zangu. Gari analoendesha lina jina lake. Nimeliweka bango kuwa linauzwa wiki kadhaa zilizopita. Alikubali kuwa atalipa pesa za gari. Nimempa miezi miwili anilipe au nitaliuza na kuchukua pesa yangu. Kwa sasa anapata somo na ninafurahi. Kila mmoja anafanya mambo ajili yake mwenyewe, Mungu kwa ajili yetu sote. Anaendelea kuniuliza ikiwa nitamwacha. Ninamwambia sitamwacha lakini ikiwa anataka talaka, nitampa kwa furaha. Sitaiacha ndoa. Nitaipa muda kuona kama inaweza kuwa sawa na kuona nini kinaweza kutokea lakini linapokuja swala la pesa, nimepata somo ambalo alinifundisha kupitia matendo yake.
Kuna demu kaweka status yake kuwa "wanaume wote mbuzi" nikamuuliza; "Wewe Baba yako umemkatia majani?"
Sasa hivi nikimtumia msg hazipokelewi nahisi kazima simu kwanza anaenda kumkatia majani!
Chuma mboga, mbuzi kagoma na dog style jaman tofauti ni nini?
Hatari sana.Tunawataja na kuwasifia kina newton na galileo kila siku ila pana genius mmoja anakuwa underrated lakini alileta mapinduzi makubwa katika sekta ya mapenzi si mwingine ni yule alie gundua style ya chuma mboga aisee jamaa aliumiza sana kichwa ila hatumuadhimishi wanamume tunakwama wapi?
Huu mtihani haswa mpwa.HAPA BUSARA INAHITAJIKA
Mwanamke kaazima ndoo ya mpangaji mwenzake chumba cha pili ambae ni kijana hajaoa.Alipomaliza kuoga akajifunga khanga yake moja akatoka bafuni akairudisha ndoo, alipofika ndani kwake akakumbuka amesahau chupi yake kwenye ile ndoo, akatoka harakaharaka vilevile na khanga moja na kugonga mlango.
Jamaa akamwambia aingie ndani aichukue, Anatoka tu mlangoni anakutana na mumewe anatoka kazini kamuona mkewe kavaa khanga moja na mkononi kashika chupi.
Je wewe ungekuwa ni mume au mchumba wake ungefanya maamuzi gani?
Awezi kukubari ndugu zetu haoHa ha .
Noma sanaaaJirani yetu aliponunua gari wife alinilazimsha nami ninunue basi nikajibana nikanunua baada ya muda jirani yetu akaongeza nyumba kwani alikuwa na uwanja mpana kama wetu basi hilo nalo likawa kero mpaka nasi tukaongeza jengo sijakaa sawa jirani akamuhamishia mtoto wake shule ya feza hilo nalo lilisumbua sana mpaka nikanyoosha mikono kijana wetu nikamuhamishia feza wife akasisitiza huo ndio uanamume kuiga mambo mazuri na jirani yetu ni mfano wa kuigwa sasa jana jirani kaongeza mke wa pili wife alikuwa amekwenda safari ndo namsubiri.
.....mambo ya kidigitali hayo.....View attachment 1728981
Watu na taaluma zaochuma mboga ni mwanamke anainama yaan akiwa kasimama unamuinamisha huku mikono yake ikiwa imeshika chini
mbuzi kagoma ni ile mwanamke imeinama kwa kukunja magoti yaani
alafu dog style ni ile mwanamke imeinama kwa kukunja magoti huku akiwa amebinuka yaan ta*k**o amelibinuaaa kabisa, Hapo bila shaka utakuwa umenielewa