Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

....Wahi Wahi, mtu wako anazeeshwa huku!
IMG_20210329_180747.jpg
 
Okay, kumbe unaielewa hali yako!
Karibu..

Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji... Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.

Sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure.
[/hatareeh]
 
Kama utakipenda kimoja njoo PM tuzungumze biashara
1. Freezer aina ya Boss Tsh250000. Haina mlango wa mtungi wa gesi
.
2. Feni ya chini Tsh 15000/=. Inawaka kwa machale.. yaeza kukaa hadi masaa 2 haijaanza kuzunguka
,
3. Pasi ya umeme aina ya Phillips. Tsh 12000/=, haishiki moto kabisa hata ikae nusu saa kwny umeme na kidude cha kuregulate moto kimeharbika..

4. Meza ya plastic Tsh 75000/= ina miguu 3 na mmoja mfupi kidg.

5. Vikombe vya udongo Dozen 1 Tsh 25000/= ila vilipata ajali kidg.. vimekatika mikono na vingne vimetoboka chini
6.Redio ya caset lkini haina transiforma bei 34000
7.Flat scren bei 50000 kioo kimepasuka na haina rimot control na batan zime haribika fasta nichek
8.Simu aina ya Sumsung s7 edge 470000/= ilidondokea kwenye maji ikapiga shot, kitufe cha kuwashia hakipo na hata ukiweka kingine haiwaki, ni simu nzuri bora na ya kisasa!
9.Kamera aina ya sony mp 16 bei 62500/= haina lens, ni mbovu hata mafundi hawaitaki kama spea.
10.Bajaji aina ya tvs, bei 1400000/= haina matairi, viti wala usukani! Imetumika miaka 8 na inadaiwa kodi ya miaka 2!

Karibuni, bidhaa ni nyingi sana, zipo za aina tofauti tofauti kama magari, ndege, treni, meli, maparashuti, vifaru, n.k vyote hivyo vikiwa katika hali mbaya sana, (ikumbukwe hizi ni toys za watoto zilizotumika huko uswahilini na kutupwa kwenye majalala)
Daaah nimecheka sana
 
KESI YA MIRATHI ILIYOMALIZIKA HARAKA.

Kesi ya Mirathi ilipelekwa Mahakama ya Mwanzo huko Tanga.
Kijana wa miaka 20 alikuwa anataka kupewa mgao wake wa mali za marehemu baba yake.

Ni kweli alikuwa na mgao wake, ila mjane wa marehemu, ambaye ni mama yake mzazi, alikuwa anamuona bado mdogo kuweza kumiliki mali nyingi kiasi kile.

Marehemu alikuwa ameacha magari na nyumba kadhaa.

Basi yule kijana baada ya kuona mama yake hataki kumpa mgao wake akafungua kesi Mahakamani.

Kufika mahakamani Hakimu akamuuliza yule kijana:

"Unamtambua huyu Mwanamke?"

Kijana Akajibu: "Ndiyo. Ni Mama yangu Mzazi."

Na mama akaulizwa, "Unamtambua Huyu Kijana?"

Mama akajibu,: "Ndio ni Mwanangu wa Kumzaa."

Hakimu akamuuliza yule Kijana: "Kijana, Eleza Mahakama Madai Yako ni Yepi?"

Kijana akajibu: "Madai yangu nina taka nikabidhiwe mgao wangu wa mali za marehemu baba. Ila Mama nimemwambia amegoma kunipa."

Mama akaulizwa na Hakimu: "Unasemaje Kuhusu Haya Madai ya huyu Kijana!?"

Mama akajibu: "Huyu ni Mwanangu wa Kumzaa, ila Sikumzaa na Huyo Aliyeacha Hizo Mali."

Kesi ikaishia hapo hapo...Kina Mama wakiamua wanaweza
noma sn hii..!!
 
jana nmetoka kuangalia movie ya kivita,na mm nkajiona kama nmeshakua stering vle..nkachkua mwiko nkatokea nao barabaran nkasimamisha difenda la FFU nkawauliza mnatoka wapi na mnaenda wap?
Hadi sasa hivi nupo kitandan napewa matibabu, @@@AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE!!!!...
Hatarii
 
Jirani yetu aliponunua gari wife alinilazimsha nami ninunue basi nikajibana nikanunua baada ya muda jirani yetu akaongeza nyumba kwani alikuwa na uwanja mpana kama wetu basi hilo nalo likawa kero mpaka nasi tukaongeza jengo sijakaa sawa jirani akamuhamishia mtoto wake shule ya feza hilo nalo lilisumbua sana mpaka nikanyoosha mikono kijana wetu nikamuhamishia feza wife akasisitiza huo ndio uanamume kuiga mambo mazuri na jirani yetu ni mfano wa kuigwa sasa jana jirani kaongeza mke wa pili wife alikuwa amekwenda safari ndo namsubiri.
 
Jirani yetu aliponunua gari wife alinilazimsha nami ninunue basi nikajibana nikanunua baada ya muda jirani yetu akaongeza nyumba kwani alikuwa na uwanja mpana kama wetu basi hilo nalo likawa kero mpaka nasi tukaongeza jengo sijakaa sawa jirani akamuhamishia mtoto wake shule ya feza hilo nalo lilisumbua sana mpaka nikanyoosha mikono kijana wetu nikamuhamishia feza wife akasisitiza huo ndio uanamume kuiga mambo mazuri na jirani yetu ni mfano wa kuigwa sasa jana jirani kaongeza mke wa pili wife alikuwa amekwenda safari ndo namsubiri.
Ha ha .
 
Wanapoitwa wazee wa baraza la mahakama wengi wao wanakuwa ni wazee kweli. Sasa katika mahakama zetu za mwanzo kilitokea kituko palikuwa na wazee watatu wa baraza mmoja wa kike sasa mzee mmoja wa baraza alifanya juhudi mara kadhaa kumtokea yule mzee wa baraza wa kike bila mafanikio.

Kukawa na kesi bint anaelezea namna mshtakiwa alivyomwambia maneno ambayo aliona hastahili kumwambia sasa namna ya kueleza mbele ya hakimu akaona haya ikabidi hakimu amwambie aandike basi bint akaandika aliniambia hivi "twende tukatombane "hakimu alipomaliza kusoma akampa mzee wa baraza wa kwanza ambae alikuwa yule mwanamke nae baada ya kusoma ikabidi ampe mzee wa baraza wa pili ambae amekuwa akimtongoza mara kadhaa kumbe waqt mahakama inaendelea yule mzee bazazi alikuwa ameuchapa usingizi hajui kinachoendelea anakurupushwa na kikaratasi kimeandikwa maneno hayo basi nae akajua ombi lake limekubaliwa akamnong'oneza sasa hivi au baada ya mahakama yule mzee wa baraza wa kike akabaki ameduwaa
 
Okay, kumbe unaielewa hali yako!
Karibu..

Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji... Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.

Sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure.
Ulikosea ungepaka ka pipa moja la grease!! sasa wewe unapaka ya mgando kawaida??
 
HAPA BUSARA INAHITAJIKA

Mwanamke kaazima ndoo ya mpangaji mwenzake chumba cha pili ambae ni kijana hajaoa.Alipomaliza kuoga akajifunga khanga yake moja akatoka bafuni akairudisha ndoo, alipofika ndani kwake akakumbuka amesahau chupi yake kwenye ile ndoo, akatoka harakaharaka vilevile na khanga moja na kugonga mlango.
Jamaa akamwambia aingie ndani aichukue, Anatoka tu mlangoni anakutana na mumewe anatoka kazini kamuona mkewe kavaa khanga moja na mkononi kashika chupi.
Je wewe ungekuwa ni mume au mchumba wake ungefanya maamuzi gani?😃😃😃🌴🌴👊🏿
 
Tunawataja na kuwasifia kina newton na galileo kila siku ila pana genius mmoja anakuwa underrated lakini alileta mapinduzi makubwa katika sekta ya mapenzi si mwingine ni yule alie gundua style ya chuma mboga aisee jamaa aliumiza sana kichwa ila hatumuadhimishi wanamume tunakwama wapi?
 
Back
Top Bottom