lokasa girl
Member
- Aug 9, 2017
- 24
- 55
Sio kila mzee ana busara wengine ni wajinga wa zamani wameshazeeka
nafight with my weather
Hahahaha hako ka emoji kamegawa bure nahisi baba hajulikaniJaman jaman, nafanana na mtoto wa emoj kweli mimi...Mungu anakuona!
Halafu sasa aliyempa huyo emoj mimba ni nani...nahisi alibubakari anahusika kwa namna flani na huo uonevu...mahari alichukua nani?
Numbisa hilo la mahari linakuhusu, nimetonywa wewe ndiye bib wa mtoto wa huyo emoj...
Utani wa ngumi huo hasa ya mwishoKuna watu wa aina 5 ni vigumu kuwashauri
Mwanamke aliependa
Mwanaume mwenye hela
Mfuasi wa gwajima
Mwanachama wa ccm
Washambiki wa arsenal
Ukimaindi njoo unipige Niko geto
hahhahahahahaha hatari sanaMAISHA NA VITUKO !!
Jana nilikuwa pale 5 Brothers Barbershop, akaingia jamaa na mtoto.
Jamaa akanyolewa nywele , akaomba na mtoto anyolewe pia, Mtoto alipoanza kunyolewa jamaa akaaga kwamba anaenda kumchekia dogo viatu dukani.
masaa matatu yakapita.
Vinyozi wakamuiliza dogo "Baba yako amekusahau nini?" Dogo akasema "Yule sio baba yangu, nilikuwa napita hapo nje, akanishika mkono na kuniambia TWENDE PALE TUKANYOLEWE BURE!!!!
mjinga sanaHivi kuingia ndani ya chandarua kwa kingereza sio ndio tunasema "internet"!!?...
hapa kingereza ndio makao makuu yake bhanaa!!.
.noma sanaBasi utaondoka na stress..!
Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote!
Future
Hapo lazima afinywe sana...nani sijuw atamgomea mwenzake hapo
Hahahahaha na muda wenyewe wa internet unakaribiaHivi kuingia ndani ya chandarua kwa kingereza sio ndio tunasema "internet"!!?...
hapa kingereza ndio makao makuu yake bhanaa!!.