Mkuu wa Kibiti
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 776
- 1,135
Hivi rubani hayupo katika kundi la WATU maana sijasikia akitajwa wakati orodha ya waliokuwa ndani ya ndege ikitolewaHAHAHAHAHAAAAAA DUH
Ndege ilipata hitilafu angani Ndipo rubani akatoa taarifa kwamba ndege imepata hitilafu na itadondoka baada ya dakika 10. Ndani ya ndege kulikuwa na watu watano Lakini maparashuti yalikuwa manne tu.
Watu hao ni mchungaji, waziri, mwanajeshi, Msukuma na mwanafunzi wa chekechea, Mchungaji akasema yeye anategemewa na kanisa hivyo hapaswi kufa. Akachukua parachute akaruka. Waziri akasema wananchi wanamtegemea alete maendeleo, Akachukua parachute akaruka. Msukuma akasema familia inamtegamea akachukua parachute akaruka faster.
Wakabaki mwanajeshi na mwanafunzi wa chekechea. Yule mjeshi akamtazama mwanafunzi akamuonea huruma kisha akasema. Mimi najitolea kufa kwa ajili yako, we chukua hilo parachute lililobaki ujiokoe halafu mi ntakufa na hii ndege.
Yule mwanafunzi akajibu "usijali yamebaki maparashuti mawili" yule mjeshi akashangaaakauliza mawili kivipi.? Mwanafunzi akasema YULE MSUKUMA KACHUKUA BEGI LANGU LA SHULE ALIDHANI NI PARASHUTI.
Hivi rubani hayupo katika kundi la WATU maana sijasikia akitajwa wakati orodha ya waliokuwa ndani ya ndege ikitolewa
Teh ....*Tafadhali Ukialikwa Nenda Kale Sepa Mambo Ya Kusumbua Watoto Wa Aliyekualika Mara Unasoma Darasa La Ngapi Mara Nihesabie Mpaka 10, nitajie table ya 6 Hatutaki*
HAHAHAHAHAAAAAA DUH
Ndege ilipata hitilafu angani Ndipo rubani akatoa taarifa kwamba ndege imepata hitilafu na itadondoka baada ya dakika 10. Ndani ya ndege kulikuwa na watu watano Lakini maparashuti yalikuwa manne tu.
Watu hao ni mchungaji, waziri, mwanajeshi, Msukuma na mwanafunzi wa chekechea, Mchungaji akasema yeye anategemewa na kanisa hivyo hapaswi kufa. Akachukua parachute akaruka. Waziri akasema wananchi wanamtegemea alete maendeleo, Akachukua parachute akaruka. Msukuma akasema familia inamtegamea akachukua parachute akaruka faster.
Wakabaki mwanajeshi na mwanafunzi wa chekechea. Yule mjeshi akamtazama mwanafunzi akamuonea huruma kisha akasema. Mimi najitolea kufa kwa ajili yako, we chukua hilo parachute lililobaki ujiokoe halafu mi ntakufa na hii ndege.
Yule mwanafunzi akajibu "usijali yamebaki maparashuti mawili" yule mjeshi akashangaaakauliza mawili kivipi.? Mwanafunzi akasema YULE MSUKUMA KACHUKUA BEGI LANGU LA SHULE ALIDHANI NI PARASHUTI.
Atakuwa ni huyo mjedaHivi rubani hayupo katika kundi la WATU maana sijasikia akitajwa wakati orodha ya waliokuwa ndani ya ndege ikitolewa
Kapotea njia huyoUtukome tena ukomae!Unafikiri ile ni mwanitesa united!?Na utakaa chumba cha giza mpaka uote ukungu nyama wee
Hahahhhkwa kifupi unataka tujue kuwa na wewe unaweza badili rangi za maandishi,huna lolote