Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

HAHAHAHAHAAAAAA DUH

Ndege ilipata hitilafu angani Ndipo rubani akatoa taarifa kwamba ndege imepata hitilafu na itadondoka baada ya dakika 10. Ndani ya ndege kulikuwa na watu watano Lakini maparashuti yalikuwa manne tu.

Watu hao ni mchungaji, waziri, mwanajeshi, Msukuma na mwanafunzi wa chekechea, Mchungaji akasema yeye anategemewa na kanisa hivyo hapaswi kufa. Akachukua parachute akaruka. Waziri akasema wananchi wanamtegemea alete maendeleo, Akachukua parachute akaruka. Msukuma akasema familia inamtegamea akachukua parachute akaruka faster.

Wakabaki mwanajeshi na mwanafunzi wa chekechea. Yule mjeshi akamtazama mwanafunzi akamuonea huruma kisha akasema. Mimi najitolea kufa kwa ajili yako, we chukua hilo parachute lililobaki ujiokoe halafu mi ntakufa na hii ndege.

Yule mwanafunzi akajibu "usijali yamebaki maparashuti mawili" yule mjeshi akashangaa akauliza mawili kivipi.? Mwanafunzi akasema YULE MSUKUMA KACHUKUA BEGI LANGU LA SHULE ALIDHANI NI PARASHUTI.
Hivi rubani hayupo katika kundi la WATU maana sijasikia akitajwa wakati orodha ya waliokuwa ndani ya ndege ikitolewa
 
Haka kahali ya hewa kasiku hizi kana faa sana kwa kilimo cha watoto asee!Hasa nikikumbuka kale kausemi ka "fyatueni tu nitasomesha"napata ujasiri wa kutosha ila msiniige hizi ni akili za baada ya kuvimbiwa pilau ya jirani mama fau na gambe mbili tatu kwa mangi ofa kutoka kwa side boy.Yanini kujitaabisha wakati kwa jirani kunalika?
 
Maamuz magumu ndio haya sasa
IMG-20190517-WA0047.jpeg
 
HAHAHAHAHAAAAAA DUH

Ndege ilipata hitilafu angani Ndipo rubani akatoa taarifa kwamba ndege imepata hitilafu na itadondoka baada ya dakika 10. Ndani ya ndege kulikuwa na watu watano Lakini maparashuti yalikuwa manne tu.

Watu hao ni mchungaji, waziri, mwanajeshi, Msukuma na mwanafunzi wa chekechea, Mchungaji akasema yeye anategemewa na kanisa hivyo hapaswi kufa. Akachukua parachute akaruka. Waziri akasema wananchi wanamtegemea alete maendeleo, Akachukua parachute akaruka. Msukuma akasema familia inamtegamea akachukua parachute akaruka faster.

Wakabaki mwanajeshi na mwanafunzi wa chekechea. Yule mjeshi akamtazama mwanafunzi akamuonea huruma kisha akasema. Mimi najitolea kufa kwa ajili yako, we chukua hilo parachute lililobaki ujiokoe halafu mi ntakufa na hii ndege.

Yule mwanafunzi akajibu "usijali yamebaki maparashuti mawili" yule mjeshi akashangaa akauliza mawili kivipi.? Mwanafunzi akasema YULE MSUKUMA KACHUKUA BEGI LANGU LA SHULE ALIDHANI NI PARASHUTI.
unautani na wasukuma wewe
 
317 Reactions
Reply
Back
Top Bottom