Mkuu wa Kibiti
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 776
- 1,135
Kwani nyani ana sura mbaya au mimacho yetu tu,huenda nao wakimuona sepenga wema wanamcheka,labda nao hututeta lione sura mbayaa kama binadamu.(Ukishiba pilau kwa jirani unaweza kudhani hata tofali ni mkate basi tu maringo yetu)