Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

*Tulikua kwenye basi tunaelekea arusha, ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua kwenye spidi hatari,* *nikaenda kumziba macho nikamuuliza* otea mi ni nani, kabla hajanijibu nikasikia kishindo kikubwa sana
na sasa hivi nimezinduka naona abiria wote tupo wodi namba 3 hapa KCMC Moshi nafkiri stendi imehamishiwa huku sikuizi.


*Akili zangu nazijua mwenyewe!!!*
Aaaaaaahaaaah!nomakweli.
 
Mtoto mwenye umri wa miaka kumi alikuwa safarini pamoja na wazazi wake.Kwa bahati mbaya hakuweza kukaa pamoja nao ikabidi akaye kwenye siti na abiria mwingine.mazungumzo ya mtoto na huyo abiria yaka anza.
Abiria: mtoto haujambo?
Mtoto: sijambo shikamoo Mzee
Abiria: marahaba mimi ni professor wa physics Je unataka kujua namna ya rocket zinavyo safiri mwezini?
Mtoto: ndio kabla hujanijibu nina mwaswali naomba nikuulize.Mbunzi anakula majani akinya mavi yake yanakuwa kama Gololi.Ng'ombe naye anakula majani akinya mavi yake kama keki .Punda naye anakula majani akinya mavi yake kama uji Je ni kwa nini?
Abiria: kafikiria halafu akasema sijui
Mtoto: sasa wewe professor wa physics unataka kuongea mambo ya rockets wakati (you don't know shiit)
 
Mtoto mwenye umri wa miaka kumi alikuwa safarini pamoja na wazazi wake.Kwa bahati mbaya hakuweza kukaa pamoja nao ikabidi akaye kwenye siti na abiria mwingine.mazungumzo ya mtoto na huyo abiria yaka anza.
Abiria: mtoto haujambo?
Mtoto: sijambo shikamoo Mzee
Abiria: marahaba mimi ni professor wa physics Je unataka kujua namna ya rocket zinavyo safiri mwezini?
Mtoto: ndio kabla hujanijibu nina mwaswali naomba nikuulize.Mbunzi anakula majani akinya mavi yake yanakuwa kama Gololi.Ng'ombe naye anakula majani akinya mavi yake kama keki .Punda naye anakula majani akinya mavi yake kama uji Je ni kwa nini?
Abiria: kafikiria halafu akasema sijui
Mtoto: sasa wewe professor wa physics unataka kuongea mambo ya rockets wakati (you don't know shiit)
...Alie elewa anifahamishe
 
Pili pili boga tatu.
Pili pili manga kikombe tatu cha kahawa.
Pili pili mbichi kumi na nane 18
Limau sita 6.
Chumvi nusu kijiko cha chai.
Masala nusu kikombe cha chai.
Blendi pamoja mpaka zichanganyike tumia vijiko viwili maratatu kwa siku kwa one week utazungumza kihindi
Naanza hiyo dozi, nikichanganya na bang vijiko sita! Natamani kuwa mjamaika ninaeongea kihind
 
*VITUKO KWENYE DALADALA*
*MZEE; dereva ongeza sauti tumsikilize mwalimu nyerere*
*DEREVA;ungemsikiliza mwalimu wako sahizi ungekuwa na gari lako*

*sahizi tupo hospital dereva yupo chumba cha wagonjwa mahututi*
Sonia G haufai kabisa wewe! Haufai kukaa na watu wasiojulikana.
 
Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo!

Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti!

then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia "imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana".
Aiseee. Nimeanza kufikiria mara 2 kama kuna haja ya kuendelea kuvuta
 
Back
Top Bottom