Kama una mtaji wa milioni 3, dili hili hapa la usambazaji nyavu za samaki

Kila biashara ni nzuri kwa kusimuliwa fanya sasa uone mziki wake. Kila la kheri kwa watakao ingia.
Yaaaah cha muhimu ni kuingia na uone nini kinaendelea humo ndani. Ni ukweli usiofichika kuwa mleta uzi hawezi kutoa details zote ndogo ndogo hapa. Anachofanya ni kukupa hints za maana ili na wewe ujiongeze aidha kwa kwenda field au site au kwa kufanya utafiti wako binafsi ili ujue wapi pa kuanzia. Ila hints ni safi sana.
 
Yaaaah cha muhimu ni kuingia na uone nini kinaendelea humo ndani. Ni ukweli usiofichika kuwa mleta uzi hawezi kutoa details zote ndogo ndogo hapa. Anachofanya ni kukupa hints za maana ili na wewe ujiongeze aidha kwa kwenda field au site au kwa kufanya utafiti wako binafsi ili ujue wapi pa kuanzia. Ila hints ni safi sana.
Tungekuwa na akili kama za bwana CHIEF MASALAKULANGWA tungekuwa mbali sana....

Asante kwa uelewa wako mkuu
 
Safi sana, info zinatosha kufanya kitu mwenyewe.. tukiendelea hivi tutafika mbali
 
Nisingeifanya nisingekuwa na uzoefu nayo...
Nmeifanya and still naifanya. Bt wahitaji wa bidhaa ni wengi kiasi kwamba suppliers zaidi wanahitajika.
Huku niko mwenyewe na bado niko na biashara zingine ko nkaona nifanye sharing na wanangu wenye moyo na spirit ya kufanikiwa
Mkuu vipi uvushaji wake maana hizi ni nyavu haramu umewambia lakini
 
Mkuu vipi uvushaji wake maana hizi ni nyavu haramu umewambia lakini
Ni kweli hzi wavu ni haramu ila zinavuka vzr tu.
Haipendez kuelezea humu uvushaji wake bt uvushaji hauko complicated kiviiile.
Kifupi ni kwamba unaenda dukan (upande wa zambia) unaweka order yako, unarud upande wa tanzania then wanavuka nazo wao kwa namna flan, wanakukabidhi mahali salama, unalipia, unaendelea na ratiba zako
 
Hizo nyavu zilishapigwa marufuku na ni haramu sababu zinanasa samaki wadogo huku zinajulikana kama buibui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom