1. Mwenye mtaji aje eneo ekari 1.3 ninalo lina jengo la storage, kisima cha maji, umeme three phase na majengo mengine mawili. Nimefunga pia mashine ya kusaga na kukoboa mahindi na nafaka kama ngano etc. mwenye interest karibu. Mahali ni Makabe Mbezi Louis.
2. Mwenye idea na biashara ya kusaga chupa za plastic ndani ya eneo hapo juu upande mmoja nimejenga jengo linalokidhi kuweka mashine na kufanya shughuli hizo.
Binafsi mtaji umepungua na nina ratiba ngumu kidogo kwani ni mwajiriwa, kusimamia kama kuna alie tayari karibu inbox.
Njooni tufanye kazi.
2. Mwenye idea na biashara ya kusaga chupa za plastic ndani ya eneo hapo juu upande mmoja nimejenga jengo linalokidhi kuweka mashine na kufanya shughuli hizo.
Binafsi mtaji umepungua na nina ratiba ngumu kidogo kwani ni mwajiriwa, kusimamia kama kuna alie tayari karibu inbox.
Njooni tufanye kazi.
