Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Hakika, kama una haraka usithubutu kutumia mabasi ya mwendo kasi mchana hapa DSM, yaani kituoni utakaa hata zaidi ya nusu saa halijapita. Sasa sijui mchana yanajificha wapi!!?
Usipate shika mkubwa, tembea kwa miguu tuHakika, kama una haraka usithubutu kutumia mabasi ya mwendo kasi mchana hapa DSM, yaani kituoni utakaa hata zaidi ya nusu saa halijapita. Sasa sijui mchana yanajificha wapi!!?
Acha upumbavuUsipate shika mkubwa, tembea kwa miguu tu
Asante mzee wa akiliAcha upumbavu
Wewe utakuwa ni kati ya viongozi wa hizo basi kwa majibu ya kunya haya.Usipate shika mkubwa, tembea kwa miguu tu
Basi ni vema wakatangaza kuwa mchana basi ni chache. Sababu wanakula. Maana mtu umeingia kituoni na kulipa hela yao lakini mabasi hayaonekani. Ni utapeli huu.Wana Kula ubwawa sahizi..si unajua tena