KWA TAARIFA YAKO :
Makundi yafuatayo yanaongoza kwa kumwaga mitusi / lugha chafu :
1. Wafanyakazi
/vibarua wa
TANESCO.
2. Barmaids.
3. Wafanyakazi
wa idara ya
AFYA.
4.Makonda
5.Madereva
6.Wapiga debe(wakiwa na hela cku hiyo)
NoTE:
Na ukitaka kujua Demu wako anayajua Matusi, we mfundishe kuendesha GARI then mruhusu aende nayo mjini ,
he he eh..! UTAPENDA