Angalia PM yakoHahahaaa! Nshaachwa kwenye mataa
Hadi kuna kitu nakumbuka kilikuwa kinaitwa Adesemi sijui ilikuwa ni niniHahaha mkuu nilikuwepo
Tritel
Celtel
Mobitel
Kulikua na zile call box fulan hv
Philips hilo au MotorolaHii ya juzi tu hapo, tumetumia simu ikipiga mlio kama kengele ya shule. Kuongea unageuza nyuma ila ndo hivyo nimevaa barakoa hapa
Nilikuwepo wakati wa hizo simu zilikuwa maarufu kama twanga pepeta nachoshukuru sikuzitumia hivyo bila shaka sitohusika na hilo onyo,au unasemaje 😂😂.Ujue wakti ushakutupa mkono. View attachment 1888865
Sawia Mkuu, celtel ya juzi hapo.Na Mobitel
Hata simu jina lake ni Kilongalonga, neno ‘Simu’ limetoka kwenye kadi ya ‘SIM’Sawia Mkuu, celtel ya juzi hapo.
Nakumbuka mpaka simu zilikuwa zimeshabatizwa Mobitel, Kama vituo vya mafuta vilivyobatizwa sheli
Na wengi wa watu walikua wakisema nimekudipu sio beepMimi nilitumia tena nilichukua mkopo wa elfu 90 nikainunua Aisee!vocha zilikuwa zinajulikana kama dollar na zilikuwa zinauzwa elfu tano!!! Tulikuwa tunatumia meseji zaidi ambapo meseji 1 ilijatwa sh 60.Salamu yetu nyingine zilikuwa Ku beep yani MTU akikubeep ukiona jina unajua kabisa kuwa Fulani ananisalimia.....NIMECHANJWA MKUU.!!!!!
Nenda kachanje tu hakuna namna.Wahenga wanavyojiteteA utawajua tuu
Kasura kazuri kwenye picha ,kumbe mhenga tayari.Duh hamna jinsi inabidi tujiepushe na misongamano
Mi simu yangu ya kwanza ilikuwa Nokia Jeneza
Taratibu basi! Usiongee kwa sauti mkuu😂Kasura kazuri kwenye picha ,kumbe mhenga tayari.
Ngoja nitulieTaratibu basi! Usiongee kwa sauti mkuu