Kama ulikuwa hujui

ninauhakika uyu jamaa ni muislam mfuata dini kindakindaki.

most of these people uwa wnaahisi umasikini ni kama tiketi ya kukupeleka mbinguni
 

Unatazama sinema gani?
 
Mzee kikwete kastafu ,ulishawahi kukaa nae msikitini kupiga story ?

Tafuta pesa kijana ,hata ukiziieka Kuna kijiwe cha wazee wenye pesa na wasio na pesa ..

Kikwete anatamani na huenda kupiga story na wazee sometime,ila mamlaka kupitia walinzi inamkataza.

Nenda kwa mzee mwinyi uone anachukua muda kukuruhusu uondoke.

Jamaa ameleta vitu vikubwa sana,lakini kwakuwa tuko hapo mwanzoni wengi hatuelewi,nadhani unakumbuka ulivyokuwa mdogo ukiwaza jinsi ukiwa mkubwa utakuwa unanunua maandazi ndoo nzima na coca unakaa ule,[emoji23][emoji23][emoji23]kiko wapi??sio kwamba huwezi ila hutaki tena.
 
Mkuu hii post yako nai screen shot niishi nayo. Unayoyasema yananigusa hadi rohoni ndani kabisa. Hakika no kweli
 
ninauhakika uyu jamaa ni muislam mfuata dini kindakindaki.

most of these people uwa wnaahisi umasikini ni kama tiketi ya kukupeleka mbinguni
Na huamini kila mtu mwenye hela nidhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…