Kama Uko Rocky city soma hapa ...

Kama Uko Rocky city soma hapa ...

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,614
Kwanza nianze kwa kukukaribisha katika mwanzo wa sikukuu za Easter. Karibu sana

Leo kuanzia saa 12:00 jioni nitakuwa Golden Rock Pub - Buzuruga; baada ya hapo hali ndo itanambia pa kuhamia.

Kesho nitakuwa Chanya - Nyakato National ....

J.mosi nitakuwa Villa - Kirumba .....

Easter nitakuwa Tunza nikiwa na familia ....

J.3 ya Easter nitajifungia na my baby hadi pale tutakapoamua kutoka kwenda Grocery.

Karibuni sana wana - JF mlioko ndani ya Rocky city.
 
Nitapita Tunza kukusalimu, nikiwa natokea Malaika beach.
 
asante sana kwa mwaliko.mi usiku wa ijumaa nitakua na familia pale victoria palace,jmosi villa na jpili baada ya pilau ntapigwa upepo luchelele.karibuni
 
asante sana kwa mwaliko.mi usiku wa ijumaa nitakua na familia pale victoria palace,jmosi villa na jpili baada ya pilau ntapigwa upepo luchelele.karibuni

Point of intersection ni Villa.... tunaonana hapo mwana!
 
Msisahau kuwa alhamisi jioni (in fact muda mfupi kutoka sasa) kutakuwa na ibada ya Alhamisi Kuu, Ijumaa kuna ibada ya Njia ya Msalaba na Jumamosi usiku kuna ibada ya Mkesha wa Pasaka. Jumapili ndio kilele cha mambo yoye katika ibada ya Pasaka

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kesho asbh sokoni, mchana kanisani. Jmosi villa park then mwz hotel. jpili kanisani then malaika beach na familia. J3 mtaani kwangu kiseke ppf, karibuni
nikitoka La Kairo nitapita Villa
 
holaaaaaaaa God akipenda nitakoka maana kesho na kesho kutwa ni mbali sana.
 
nikitoka La Kairo nitapita Villa
Kumbe Blaki Womani uko mwanza?any way. Viwanja Vya mwanza ni common sana sijui niviite fixed?hakuna kilichoongezeka Hapo golden rock=buzuruga chanya national,villa kirumba,Tunza(japo pamefulia na sijui unaendea nini mkuu ilemela)Pasaka njema kwako na familia mkuu
 
Last edited by a moderator:
holaaaaaaaa God akipenda nitakoka maana kesho na kesho kutwa ni mbali sana.

Nilikaa hapo hadi saa 4 usiku sijakuona; kama ulikuja nilikuwa nimekaa juu na wababa watatu tunakamua beer kwa kwenda mbele.
Jana imepita leo mwendo wa Chanya kuanzia saa 8; kitimoto kwa kwenda mbele - karibuni wote.
 
Kesho asbh sokoni, mchana kanisani. Jmosi villa park then mwz hotel. jpili kanisani then malaika beach na familia. J3 mtaani kwangu kiseke ppf, karibuni

Kiseke sijawahi kufika hata siku moja; nitajaribu J3 nikifika sijui nianzie wapi kukutafuta dada yangu.
 
Msisahau kuwa alhamisi jioni (in fact muda mfupi kutoka sasa) kutakuwa na ibada ya Alhamisi Kuu, Ijumaa kuna ibada ya Njia ya Msalaba na Jumamosi usiku kuna ibada ya Mkesha wa Pasaka. Jumapili ndio kilele cha mambo yoye katika ibada ya Pasaka

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ahsante kwa kutukumbusha mambo ya kiroho.
 
ooooh so bad, natoka, naenda zenji na family, double tree hilton ndo nafikia, atakaekuwepo huko ani pm, maana itakuwa swim jf swim jf swim jf
 
Kwanza nianze kwa kukukaribisha katika mwanzo wa sikukuu za Easter. Karibu sana

Leo kuanzia saa 12:00 jioni nitakuwa Golden Rock Pub - Buzuruga; baada ya hapo hali ndo itanambia pa kuhamia.

Kesho nitakuwa Chanya - Nyakato National ....

J.mosi nitakuwa Villa - Kirumba .....

Easter nitakuwa Tunza nikiwa na familia ....

J.3 ya Easter nitajifungia na my baby hadi pale tutakapoamua kutoka kwenda Grocery.

mkuu Buhongwa hauji?. mia
 
pombe nzuri tu inasaidia pia..

get well soon my braza jacobs
 
Back
Top Bottom