Kama Uko Rocky city soma hapa ...

Kama Uko Rocky city soma hapa ...

Me mkaz wa uko but sijaelewa lengo la hap n nn,,nipen bia za bure
 
Kwanza nianze kwa kukukaribisha katika mwanzo wa sikukuu za Easter. Karibu sana

Leo kuanzia saa 12:00 jioni nitakuwa Golden Rock Pub - Buzuruga; baada ya hapo hali ndo itanambia pa kuhamia.

Kesho nitakuwa Chanya - Nyakato National ....

J.mosi nitakuwa Villa - Kirumba .....

Easter nitakuwa Tunza nikiwa na familia ....

J.3 ya Easter nitajifungia na my baby hadi pale tutakapoamua kutoka kwenda Grocery.

Karibuni sana wana - JF mlioko ndani ya Rocky city.

unajifungia n bby wako af unasem karbu haya nikarbsh n mm tukae n bby wako
 
Kumbe members wanaoishi mwanza ni wengi eeh!wakuu Itabidi tupange Siku tukutane na tufahamiane Maana huo ndo umoja
 
Haswaa, litakuwa ni jambo la maana sana, hebu anza kuorginize jmosi moja tukutane, ikibidi tuanzishe umoja wetu kama wanavyofanya wenzetu wa mikoa mingine
Kumbe members wanaoishi
mwanza ni wengi eeh!wakuu Itabidi tupange Siku tukutane na tufahamiane
Maana huo ndo umoja
 
Kesho asbh sokoni, mchana kanisani. Jmosi villa park then mwz hotel. jpili kanisani then malaika beach na familia. J3 mtaani kwangu kiseke ppf, karibuni

Kumbe u-jirani yangu wewe?
 
Nimemiss sana pande za Rock city binafsi huwa siku kama hizi napenda kuchili maeneo yangu yakujidai CROSS PARK pande za Igoma.
 
Back
Top Bottom