Kama tatizo ni uharamia baharini kwani tunaweza kuchukua hatua iwe Tanzania pekee?

Mdude_Nyagali

Member
Dec 11, 2022
68
1,268
Kuanzia siku za hivi karibuni tumeshuhudia gharama za kutoa kontena bandarini zimepandishwa mara tatu zaidi kuliko ilivyokuwa awali. Kwamba hapo awali gharama za kusafirisha kontena moja kutoka China mpaka bandari ya Dar ilikuwa milion sita. Lakini kwa sasa kontena hilo linasafirishwa kwa milion 23. Mamlaka za serikali zinadai gharama hizo kuongezeka zimesababishwa na uharamia baharini.

Sasa jambo la kushangaza ni kwamba gharama hizi kupanda ni kwa bandari ya Tanzania pekee? Mbona nchi zingine gharama zimebakia kuwa zilezile? Hapa chini nimeambatanisha ushahidi wa gharama za kusafirisha kontena kutoka China mpaka Mombasa Kenya ambayo ni takribani milion 5 kwa kontena wakati Tanzania ni milion 23.

Swali la kujiuliza je; huo uharamia wa baharini ni kwa ajili ya meli zinazokuja Tanzania pekee? Ama nchi za wenzetu wao wana bahari zao zisizokuwa na uharamia? Je; ni kweli kwamba huu ni mkakati wa serikali na DP World?

Mpaka jana makampuni matatu ya usafirishaji kutoka Zambia yanatafuta ofisi Kenya kwa ajili ya kutumia bandari ya Mombasa. Pia kuna kampuni kadhaa za Congo DRC nazo zipo katika mchakato huo kuhama bandari ya Dar na kwenda Mombasa kwa ajili ya kukwepa gharama hizi zilizoongezeka.

Tunaitaka serikali ije na majibu yanayoeleweka kuhusu jambo hili na majibu hayo yawe ya kurudisha gharama zilizokuwepo awali badala ya kuleta maneno ya kitapeli. Gharama zikiendelea kuwa hivi maana yake tutegemee vitu kupanda bei mara tatu zaidi, kama kuna Jeans ๐Ÿ‘– ulikuwa unanunua elfu 30 jiandae kununua laki 1. Ugumu wa maisha utaongezeka mara dufu zaidi.
20240526_211059.jpg

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
 
Huelewi nini Sasa mdude!!?

Nakupa nadharia;-

1.Mkataba was dp world wabia wa mkataba huo wanapiga Hela Kwa kuongeza gharama za kusafirisha mizigo bandarini!!

2.Bandari ya Dar inahujumiwa Ili ikose mapato Kwa nchi na kuinua bandari nyingine zilizopo ukanda wa maziwa makuu na pwani,yaani Bandari nyingine zipate wateja yajwetu ikimbiwe na wateja!!

3.Wameamua kumhujumu mama Ili akose mvuto wa kisiasa hapo 2025,yaani political damage kwake kuelekea 2025!

Hizo sababu za uharamia ni za mchongo coz tangu zamani uharamia ulikuwepo kama kawaida na gharama haikua hivyo!
 
Huelewi nini Sasa mdude!!?

Nakupa nadharia;-

1.Mkataba was dp world wabia wa mkataba huo wanapiga Hela Kwa kuongeza gharama za kusafirisha mizigo bandarini!!

2.Bandari ya Dar inahujumiwa Ili ikose mapato Kwa nchi na kuinua bandari nyingine zilizopo ukanda wa maziwa makuu na pwani,yaani Bandari nyingine zipate wateja yajwetu ikimbiwe na wateja!!

3.Wameamua kumhujumu mama Ili akose mvuto wa kisiasa hapo 2025,yaani political damage kwake kuelekea 2025!

Hizo sababu za uharamia ni za mchongo coz tangu zamani uharamia ulikuwepo kama kawaida na gharama haikua hivyo!

Mbona issue ni dunia nzima? Ni vizuri kuongea kitu baada ya kufanya tafiti. Then hii tabia ya kila kitu kusingizia hujuma huwa ni nonsense. Mfano Rostam akihujumu bandari ili Samia asipendwe yeye haathiriki na gharama za usafirishaji? Kingine wamhujumu Samia ilia Rais awe nani? Kama mafisadi wanaona samia hatoshi unadhani wanataka mtu type ya Magufuli awe Rais 2025? Hii hoja huwa dhaifu sana hakuna fisadi hataki rais mpole kama Samia so hawana sababu yoyote ya kumhujumu.
 
Kuanzia siku za hivi karibuni tumeshuhudia gharama za kutoa kontena bandarini zimepandishwa mara tatu zaidi kuliko ilivyokuwa awali. Kwamba hapo awali gharama za kusafirisha kontena moja kutoka China mpaka bandari ya Dar ilikuwa milion sita. Lakini kwa sasa kontena hilo linasafirishwa kwa milion 23. Mamlaka za serikali zinadai gharama hizo kuongezeka zimesababishwa na uharamia baharini.

Sasa jambo la kushangaza ni kwamba gharama hizi kupanda ni kwa bandari ya Tanzania pekee? Mbona nchi zingine gharama zimebakia kuwa zilezile? Hapa chini nimeambatanisha ushahidi wa gharama za kusafirisha kontena kutoka China mpaka Mombasa Kenya ambayo ni takribani milion 5 kwa kontena wakati Tanzania ni milion 23.

Swali la kujiuliza je; huo uharamia wa baharini ni kwa ajili ya meli zinazokuja Tanzania pekee? Ama nchi za wenzetu wao wana bahari zao zisizokuwa na uharamia? Je; ni kweli kwamba huu ni mkakati wa serikali na DP World?

Mpaka jana makampuni matatu ya usafirishaji kutoka Zambia yanatafuta ofisi Kenya kwa ajili ya kutumia bandari ya Mombasa. Pia kuna kampuni kadhaa za Congo DRC nazo zipo katika mchakato huo kuhama bandari ya Dar na kwenda Mombasa kwa ajili ya kukwepa gharama hizi zilizoongezeka.

Tunaitaka serikali ije na majibu yanayoeleweka kuhusu jambo hili na majibu hayo yawe ya kurudisha gharama zilizokuwepo awali badala ya kuleta maneno ya kitapeli. Gharama zikiendelea kuwa hivi maana yake tutegemee vitu kupanda bei mara tatu zaidi, kama kuna Jeans ๐Ÿ‘– ulikuwa unanunua elfu 30 jiandae kununua laki 1. Ugumu wa maisha utaongezeka mara dufu zaidi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
UMEKURUPUKA kama kawaida yako. Hizo data kuhusu Kenya ulizoweka ni za mwezi gani? unapofanya ufananisho fanya kwa kipindi kinachofanana
 
Kuanzia siku za hivi karibuni tumeshuhudia gharama za kutoa kontena bandarini zimepandishwa mara tatu zaidi kuliko ilivyokuwa awali. Kwamba hapo awali gharama za kusafirisha kontena moja kutoka China mpaka bandari ya Dar ilikuwa milion sita. Lakini kwa sasa kontena hilo linasafirishwa kwa milion 23. Mamlaka za serikali zinadai gharama hizo kuongezeka zimesababishwa na uharamia baharini.

Sasa jambo la kushangaza ni kwamba gharama hizi kupanda ni kwa bandari ya Tanzania pekee? Mbona nchi zingine gharama zimebakia kuwa zilezile? Hapa chini nimeambatanisha ushahidi wa gharama za kusafirisha kontena kutoka China mpaka Mombasa Kenya ambayo ni takribani milion 5 kwa kontena wakati Tanzania ni milion 23.

Swali la kujiuliza je; huo uharamia wa baharini ni kwa ajili ya meli zinazokuja Tanzania pekee? Ama nchi za wenzetu wao wana bahari zao zisizokuwa na uharamia? Je; ni kweli kwamba huu ni mkakati wa serikali na DP World?

Mpaka jana makampuni matatu ya usafirishaji kutoka Zambia yanatafuta ofisi Kenya kwa ajili ya kutumia bandari ya Mombasa. Pia kuna kampuni kadhaa za Congo DRC nazo zipo katika mchakato huo kuhama bandari ya Dar na kwenda Mombasa kwa ajili ya kukwepa gharama hizi zilizoongezeka.

Tunaitaka serikali ije na majibu yanayoeleweka kuhusu jambo hili na majibu hayo yawe ya kurudisha gharama zilizokuwepo awali badala ya kuleta maneno ya kitapeli. Gharama zikiendelea kuwa hivi maana yake tutegemee vitu kupanda bei mara tatu zaidi, kama kuna Jeans ๐Ÿ‘– ulikuwa unanunua elfu 30 jiandae kununua laki 1. Ugumu wa maisha utaongezeka mara dufu zaidi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Mombassa port for everybody.
 
Huelewi nini Sasa mdude!!?

Nakupa nadharia;-

1.Mkataba was dp world wabia wa mkataba huo wanapiga Hela Kwa kuongeza gharama za kusafirisha mizigo bandarini!!

2.Bandari ya Dar inahujumiwa Ili ikose mapato Kwa nchi na kuinua bandari nyingine zilizopo ukanda wa maziwa makuu na pwani,yaani Bandari nyingine zipate wateja yajwetu ikimbiwe na wateja!!

3.Wameamua kumhujumu mama Ili akose mvuto wa kisiasa hapo 2025,yaani political damage kwake kuelekea 2025!

Hizo sababu za uharamia ni za mchongo coz tangu zamani uharamia ulikuwepo kama kawaida na gharama haikua hivyo!
Siyo kumuhujumu amejiihujumu mwenyewe kuleta hili dude ili naye apate pa kupiga
 
Wewe ndo umekurupuka
data zinapingwa kwa data
ungekuja na data kumprove wrong

sio mipasho Kama uko baikoko hapa

UMEKURUPUKA kama kawaida yako. Hizo data kuhusu Kenya ulizoweka ni za mwezi gani? unapofanya ufananisho fanya kwa kipindi kinachofanana
 
UMEKURUPUKA kama kawaida yako. Hizo data kuhusu Kenya ulizoweka ni za mwezi gani? unapofanya ufananisho fanya kwa kipindi kinachofanana

Nyangali is too smart not to know that ... Kama kweli amekurupuka ebu tuwekee data kamili.

So far wanaolalamika ni Watanzania peke yao .....!!
 
Nilimwomba aziweke hadharani za kwake zinazoambinika. Jibu lake ni kuwa: hata wewe unaweza kuzipata!.

Kwa maana nyingine ni kuwa anakataa data zilizotolewa lakini hana za kwake kuzipinga hizo. Buku 7 oyeeeeee
 
Huelewi nini Sasa mdude!!?

Nakupa nadharia;-

1.Mkataba was dp world wabia wa mkataba huo wanapiga Hela Kwa kuongeza gharama za kusafirisha mizigo bandarini!!

2.Bandari ya Dar inahujumiwa Ili ikose mapato Kwa nchi na kuinua bandari nyingine zilizopo ukanda wa maziwa makuu na pwani,yaani Bandari nyingine zipate wateja yajwetu ikimbiwe na wateja!!

3.Wameamua kumhujumu mama Ili akose mvuto wa kisiasa hapo 2025,yaani political damage kwake kuelekea 2025!

Hizo sababu za uharamia ni za mchongo coz tangu zamani uharamia ulikuwepo kama kawaida na gharama haikua hivyo!
Uharamia Gani? Hawa wahuni na majambazi TU!
 
We ndo mwendawazimu na bila shaka unatetea mabwana zako.
Hoja ya Mdude iko wazi kabisa!.
NASEMA TENA UKIMWELEWA MDUDE UJUE UCHIZI UNAKUANZA DP WORLD NA KUPANA KWA FREIGHT KUNA UHUSIANO GANI ILIYOPANDA NIFREIGHT DP WANA MELI? MDUDE NI CHIZI
 
DATA ZO
Nilimwomba aziweke hadharani za kwake zinazoambinika. Jibu lake ni kuwa: hata wewe unaweza kuzipata!.

Kwa maana nyingine ni kuwa anakataa data zilizotolewa lakini hana za kwake kuzipinga hizo. Buku 7 oyeeeeeeA MDUDE? AKILI NYUMA KWELI NYIE
 
Back
Top Bottom