Kama Taifa, hatutakiwi kuwapa nafasi yoyote CHADEMA

Kama Taifa, hatutakiwi kuwapa nafasi yoyote CHADEMA

Kimbesa11

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
4,652
Reaction score
2,696
Chadema ni kikundi cha panyaroad yafaa kiondolewe sifa za kufanya shughuli za kisiasa nchini, ushahidi upo kwenye post zao mitandaoni kwa kweli mpaka unajiuliza hivi Hawa watu wanaakili kweli? Ni WA Tanzania kweli? Yafaa wadhibitiwe vikali.

Kama Taifa Hatutakiwi kuwapa nafasi yoyote chadema, hatutakiwi kuwapa nafasi hata ya kufanya mijadala ya kisiasa tu, hiki chama ni kikundi cha panyaroad kwasababu

  • chadema ni waratibu wakuu wa vurugu nchini
  • chadema ni wapotoshaji wakuu nchini
  • chadema ni chama kinachotumiwa na mabeberu nchini
  • chadema kimejaa watukanaji mitandaoni.
 
Chadema ni kikundi cha panyaroad yafaa kiondolewe sifa za kufanya shughuli za kisiasa nchini, ushahidi upo kwenye post zao mitandaoni kwa kweli mpaka unajiuliza hivi Hawa watu wanaakili kweli? Ni WA Tanzania kweli? Yafaa wadhibitiwe vikali.

Kama Taifa Hatutakiwi kuwapa nafasi yoyote chadema, hatutakiwi kuwapa nafasi hata ya kufanya mijadala ya kisiasa tu, hiki chama ni kikundi cha panyaroad kwasababu

  • chadema ni waratibu wakuu wa vurugu nchini
  • chadema ni wapotoshaji wakuu nchini
  • chadema ni chama kinachotumiwa na mabeberu nchini
  • chadema kimejaa watukanaji mitandaoni.
uko sahihi 100% gentleman :pedroP:
 
UMEKOSEA SANA KUWAKUMBUSHA MKUU , NYUMBU NI CHAKULA CHA MAMBA

EBU ONA HAPA WALIVYOSABABISHA MAUAJI YA VIJANA KWA UONGO WAO HUU 👇🏾
 

Attachments

  • Screenshot_20251220-071210_1766204935841.jpg
    Screenshot_20251220-071210_1766204935841.jpg
    368.7 KB · Views: 8
Chadema ni kikundi cha panyaroad yafaa kiondolewe sifa za kufanya shughuli za kisiasa nchini, ushahidi upo kwenye post zao mitandaoni kwa kweli mpaka unajiuliza hivi Hawa watu wanaakili kweli? Ni WA Tanzania kweli? Yafaa wadhibitiwe vikali.

Kama Taifa Hatutakiwi kuwapa nafasi yoyote chadema, hatutakiwi kuwapa nafasi hata ya kufanya mijadala ya kisiasa tu, hiki chama ni kikundi cha panyaroad kwasababu

  • chadema ni waratibu wakuu wa vurugu nchini
  • chadema ni wapotoshaji wakuu nchini
  • chadema ni chama kinachotumiwa na mabeberu nchini
  • chadema kimejaa watukanaji mitandaoni.
Hao wafuasi unawajuaje mkuu?

Au umelipwa elfu 10 na bundle uje kuitukana CHADEMA Jamii Forum?
 
Hakuna chama kinawapa shida ccm kama cdm, na cdm ndio chama kitakatisha ndoto ya ccm kutawala nchi hii milele. Maana hadi sasa ccm imewashindwa cdm kwa hoja na mvuto, nguvu pekee ya ccm sasa imebaki kwenye mtutu wa bunduki. Namna pekee ya ccm kupambana na cdm kwa sasa ni kuhakikisha wanaifuta cdm, sio zaidi ya hapo.
Ertugrul Bey HAYA LAND HOV
 
Back
Top Bottom