Kama Si Mswahili Usisome Mlolongo huu!!!!

Kama Si Mswahili Usisome Mlolongo huu!!!!

Hakika wewe kama ni si mswahili nimesema usisome mlolongo huu [thread] HAYA SASA HII SHATI YA WEWE??????
Hapo mwl mkuu mamako cjakusoma

Na eti kweli nimeambiwa Mwalimu Mkuu ni Mamaako eeeeeeeeeh??????

Na unakaa wapi weye Kigogo kwa mbele au unakalia Upanga kwa Nyuma???

Ukishindwa nijibu nitakuuliza kwa kilugha changu manake nimesema wewe kama si Mswahili Usisome na wewe umelazimisha kusoma labda kwa kilugha/kabila yangu utanielewa nasema hivi "YEGO WAHIKA WAGENDA MAJITA KUXAMAYO?"[/QUOTE]
 
mi nyakyusa,'mfire mgeni akalale'yan mpeleke mgeni akalale
 
Nami acha nijinafac na kilugha changu 'MUHO WAKUMA,MBOO SIKADWA NA MBATHASHO SIKAVA ****** PIU'-Yani ' upepo umevuma,nyati wakaja na mbaazi zikawa fimbo-kichaga cha rombo

Ahhh wapi!!!!!!!!!!!!!!!!!! Waromboo hatuongei namna hiyo. Jaribu tena baadae
 
Yakheee!!! 'Cha mtu uliwa na mtu, na cha chuma huliwa na kuuutu yakhee'

Ukitaka kula nawe kubali kuliwa japo kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom