Kama shere zipo hivi,,sitaki kualikwa tena

Kama shere zipo hivi,,sitaki kualikwa tena

msapwat

Member
Joined
Jun 26, 2012
Posts
75
Reaction score
11
nimehudhulia sherehe moja ya kiserikali hapa kinondoni,ila chaajabu hakuma hata vinywaji,pia wahudumu hawaji,japo nimevaa suti nyeupe lakini hawanifuati. looo, sitaki mualiko tena.
 
Kwani hawakunote wewe ni pro feesa? Siku nyingine inabidi uende na ka Heinken baridi!
 
siku nyingine usikubali mialiko isiyoeleweka,. Utauzwa mkuu!!
 
Pole sana,siku nyingine uvae suti ya kijani na njano..halafu kuna matatizo ya uandishi kwenye andiko lako.
 
nimehudhulia sherehe moja ya kiserikali hapa kinondoni,ila chaajabu hakuma hata vinywaji,pia wahudumu hawaji,japo nimevaa suti nyeupe lakini hawanifuati. looo, sitaki mualiko tena.

pole sana ndugu yangu, jaribu kuomba hata maji ya kunawa.
 
ilokua sherehe ya wasambaa nini ? maana wasambaa hawaeleweki haafu sherehe zao hazina vinywaji
 
sherehe ya kiserikali kinondoni??????????????????? unamaanisha serikali ya wanafunz au hii ya jk
 
Naikumbuka sana ile sherehe ilikuwa ni kwa ajiri ya wauza sembe.mlivyo tokea ninyi wakuda tukabadiri maudhui ya sherehe nzima.
 
nimehudhulia sherehe moja ya kiserikali hapa kinondoni,ila chaajabu hakuma hata vinywaji,pia wahudumu hawaji,japo nimevaa suti nyeupe lakini hawanifuati. looo, sitaki mualiko tena.
mwaka umeuanza vibaya
 
Back
Top Bottom