ka 4wheel kanapatikan ila suzuki model ya zamani naana ya 1996 mpaka 98 kwa kuagiza iatakutafuna kidogo kwa sababu in kodi zaidi ya 4 hiyo new model yake yaani ya 2001 imekomaa bei kidogo bajeti yako pungufu mkuu. mi nakushauri ingawa umesema hupendi garizinazofana na taxi nunua toyota corrola x nze121 kwanza ni nzuri sana pili concumption ya mafuta ni nzuri sana sababu cc zake ni 1300 mpaka 1500 kwa umbali wako wa kilimeta 25 itakufaa mkuu ila kama barabara ni nzuri ya uendako, kama barabara zetu hizi tafuta hiyo 4wheel kama suzuki ipo juu kidogo na bei za hapa utapata kuanzia 9m mpaka 10m ila uwe mwangalifu sana madalali wana njaaaa sana wasije kukuingiza town. usiwe na haraka fanya taratibu na kwa maringo ok mkuuu