mixer au dry
Member
- Sep 25, 2019
- 66
- 56
Kama ningekuwa President ningepiga marufuku TUMBAKU na ningeruhusu BANGI kwa sababu nishaona vifo vinavyosababishwa na TUMBAKU ila sijaona Vifo vinavyosababishwa na BANGI.
Ni mtazamo tu.
Ni mtazamo tu.
Nínachojiuliza hivi hawa waolihalalisha TUMBAKU wàna akili kweli?Bangi katika ubora wake! siku ya kwanza kuvuta bangi na mm niliwaza kama wewe!
Mimi nakujibu kutokana na jina la ID yako.Nínachojiuliza hivi hawa waolihalalisha TUMBAKU wàna akili kweli?
Wavuta TUMBAKU ndo mnàvyokuaga kula ndumu ww àcha sigaraMimi nakujibu kutokana na jina la ID yako.
Acha kuvuta dry utachizi, ona sasa unavyopost udwanzi kisa umekula kaya haina kali.
Gonga mixer mjomba.Wavuta TUMBAKU ndo mnàvyokuaga kula ndumu ww àcha sigara
Umeandika uzi huu baada ya kubugia bangeKama ningekuwa President ningepiga marufuku TUMBAKU na ningeruhusu BANGI kwa sababu nishaona vifo vinavyosababishwa na TUMBAKU ila sijaona Vifo vinavyosababishwa na BANGI.
Ni mtazamo tu.
Mixex haina utofauti na sigara hata daktari wangu àliniambiaGonga mixer mjomba.
Endelea kula dry uone unavyokua gumbalu zaidi ya hapa.
Sio kubugia tu hadi kwenye mbogaUmeandika uzi huu baada ya kubugia bange
Tofauti kati ya:
DRY
Inapanda fasta kichwani pia inaisha fasta
Inaleta apetite ya msosi,kujiskia kula kula
Inaleta njaa..Ukinywa maji inakata fasta..
Harufu ya mmea inabaki mwilini/vidoleni na kwenye nguo
MIXER
Inapanda mdogo mdogo ila inakaa muda mrefu kichwani inachelewa kuisha..
Kichwa kinatulia,umakini na concetration
Vinaongezeka
Harufu ya mmea inamezwa na Kali ya kwenye mixer
Ukishushia na Ubalozi/Embasy utamu unafika hadi kisogoni
All in all hii ni kwa mujibu wa uzoefu wangu kazini ila sasa ni mtumishi mstaafu
#KayaForLife
#LegaliseIt
🚭BORA BANGI KULIKO SIGARA. KWANZA KIUCHUMI BANGI INALIPA ILE MBAYAA.. ALAFU NI DAWAYA KUSAIDIA UPATE APETITE YA KULA. VILE VILE UNAKUA MAKINI ZAIDI KIKAZI.