mkwe, umeona eeh? daladala za huku kwetu mabondeni zinaisha saa kumi na mbili. bora aninunulie ka-baby walker. na nikikapata inakuja 'baby,kavitz ukikajaza mafuta full tank unajua ntakuwa free kuzunguka nakuja kuku-kiss gnite ndo naenda home'
baada ya vitz kiwanja baharini .... hadi abaki mfupa!