Kama ningekuwa mzee Sabodo au mzee yeyote ninayeheshimika CHADEMA ningefanya hivi:-

Dijovisonjn

JF-Expert Member
Nov 14, 2011
466
125
karibia watanzania wote tunajua kile kinachoendelea ndani ya CHADEMA, na kama wote tukiamua tuiache hali hii iendelee hivi hivi mwisho wa CHADEMA hautakuwa mzuri!!! wengi wanaweza wakaiangalia hii hali kiushabiki na ki makundi lakini amini nawaambia kama hii ishu ikiendelea kuwa chini ya mikono ya kile kinachoonekana kambi ya Mbowe mwisho wake hautakuwa mzuri!!

Jana mh. Tundu Lissu alijaribu kufananisha hii hali na ile ya mwako 2000 kwa Dr Walid lakini alishindwa kuielewa tofauti ya hali ya CHADEMA ya mwaka 2000 na ya mwaka 2010s pia Tundu Lissu alishindwa kutofautisha nguvu ya Dr Walid kipindi hicho na nguvu ya Zitto Kabwe kipindi hiki, pia Lissu alishindwa kutambua maadui wa chama kipindi kile na maadui wa chama kipindi hiki! Ndugu wanaCHADEMA aidha kwa kupenda au au kutokupenda wote mnatakiwa kujua kuwa chama kipo kwenye wakati mgumu sana na hili kutoka salama katika kipindi hiki ni lazima busara itumike zaidi kuliko sheria, kanuni na taratibu.

WanaCHADEMA, katika hali hii mnahitaji kuwa na mtu mwenye busara zaidi na anayeheshimika sana katika chama chenu ili aweze kuwavusha salama katika hii hali la sivyo mtapotea! WanaCHADEMA mnaweza mkajiliwaza na support mnayoipata juu ya hayo maamuzi ya CC yenu lakini wengi mnashindwa kujua kuwa wale wote wanaosupport wako against Zitto mimi nahisi ili kujua ukweli jamii imepokeaje maamuzi yenu haya hebu jaribuni kufanya field reseach kwa tanzania nzima mtapata picha halisi ya namna gani wananchi wa kawaida wapenda mabadiliko walivyoipokea hii hali.

Kuna watu ndani ya CHADEMA hata hawana impacts kubwa sana ya ushawishi wa kura za wananchi wakipayuka na kuongea chochote juu ya hii hali jamii inawadharau but kunawatu wakiongea juu ya hii hali jamii inashtuka na kushangaa, watuamia mitandao ya kijamii mtakuwa mashahidi ni jinsi gani jamii ilivyopokea maneno ya akina Sugu na Msigwa juu ya hili sakata (wengi tuliwaqdharau kwa sababu tunahisi wao wenyewe tu hawajielewi) lakini wote ni mashaidi ni jinsi gani jamii ilivyopokea kitendo cha JJ Mnyika kujiingiza katika hili tatizo (Mnyika amewashtua wengi ni kwa sababu anaonekana kama mbunge anayejielewa na makini zaidi ya wabunge wote wa CHADEMA sasa kitendo cha yeye kujiingaza katika vita hii ya madaraka imemtia dosari kubwa sana(mnaweza pia kupinga kuwa hii sio vita ya kimadaraka lakini jamii tunaiona hii hali kama vita ya kimadaraka).

kutokana na hali hii gafla nimeingiwa na matamanio ya kutamani kitu kisichowezekana, natamani kama ningekuwa mzee Sabodo au mzee yeyote anayeheshimika ndani ya CHEDEMA na asiyefungamana na upande wowote (nisiwe mzee Mtei) Haki ya Mungu ningejitosa kuiokoa CHADEMA ningehakikisha amani, utulivu na mshikamono vinalejea CHADEMA bila kumuumiza mtu yeyote, ningehakikisha viongozi wanajenga hali ya kuaminiana na kupendana lakin pia ningeidumisha demokrasia ya ndani ya chama, ningehamasisha ushindani usio na chuki wala majeraha ndani ya chama, ningehamasisha kuheshimiana ndani ya chama baina ya viongozi kwa viongozi, viongozi kwa wanachama na hata kwa wanachama kwa wanachama lakini mazuri yote haya ya kuileta CHADEMA katika mstari siwezi kuyafanya kwa sababu am no body ndani ya CHADEMA, ila naamini wazee na watu wanaoheshimika ndani ya CHADEMA watapewa hekima hii na MUNGU WETU na kusaidia CHADEMA.
 
kaka umeongea yaliyoko moyoni mwangu na ninaamini yako ndani ya watanzania walio wengi wapenda mabadiliko. Natumaini walio na masikio ya kusikia na macho ya kuona wanasikia na kuona.
 
Uppuzi mtupu,kwani hapa pnalinganishwa kwa nguvu au kwa uovu na Adhabu stahiki iliyochukuliwa.Mhaidi au jambazi mwenye nguvu na asiye na nguvu wanahitaji dhibitiwa.Tofauti ni Dose watakayopewa tuu hakuna kingine.

Acheni wehu jamani.Msipende uchukuliwa utaahira for granted.
 
kama unahisi kama msimamo huu utakisaidia chama chenu basi endeleeni lakini kwa mwenye busara atajua nini kifanyike, alafu ni vizuri kukumbuka kuwa mzazi mzuri si yule anayemwadhibu mwanaye kwa adhabu kali kwa kila kosa analofanya! alafu si kwamba kwa kuwa sheria, kanuni, sera na taratibu zipo ni lazima tuzifuate kwa kila tukio kuna baadhi ya matukio busara na hekima zinafaa zaidi. Hivi unakumbuka zile vurugu zilizotokea bungeni siku ile baada ya Mh. naibu Spika Job Ndugai kumlazimisha Mbowe akae chini?! pale Job Ndugai alitumia kanuni na sheria za bunge badala ya busara na hekima na yale yaliyotokea yalikuwa matokeo ya kukumbatia sheria na kanuni na kusahau hekima na busara!


Uppuzi mtupu,kwani hapa pnalinganishwa kwa nguvu au kwa uovu na Adhabu stahiki iliyochukuliwa.Mhaidi au jambazi mwenye nguvu na asiye na nguvu wanahitaji dhibitiwa.Tofauti ni Dose watakayopewa tuu hakuna kingine.

Acheni wehu jamani.Msipende uchukuliwa utaahira for granted.
 
kama unahisi kama msimamo huu utakisaidia chama chenu basi endeleeni lakini kwa mwenye busara atajua nini kifanyike, alafu ni vizuri kukumbuka kuwa mzazi mzuri si yule anayemwadhibu mwanaye kwa adhabu kali kwa kila kosa analofanya! alafu si kwamba kwa kuwa sheria, kanuni, sera na taratibu zipo ni lazima tuzifuate kwa kila tukio kuna baadhi ya matukio busara na hekima zinafaa zaidi. Hivi unakumbuka zile vurugu zilizotokea bungeni siku ile baada ya Mh. naibu Spika Job Ndugai kumlazimisha Mbowe akae chini?! pale Job Ndugai alitumia kanuni na sheria za bunge badala ya busara na hekima na yale yaliyotokea yalikuwa matokeo ya kukumbatia sheria na kanuni na kusahau hekima na busara!

wala huwezi nishawishi wala kunililia nikubali hii logic yako ya nyumbu:

Kuwa mhalifu mwenye nguvu zaidi asichughulikiwe..?
 
Safi, ni wajinga wachache ndio wanapenda hayo yanayo tokea kwenye hicho chama hivi sasa ila hata mimi ningependa kuona wanamaliza hayo ili kuonyesha kupevuka kwa chama pamoja na viongozi wake.

Pili kwenye waraka huo sijaona shida zaidi ya matamshi mabaya kwa mwenyekiti, kwa kuwa hata chama kinacho tawala hivi sasa kuna watu wengi hivi sasa wanajipigia upatu ama kupigiwa upatu na watu wao ili kuchukua nyazifa mbali mbali,na nina imani itakuwa kwa maongezi au hata maandishi na vikao vingi kwa siri.

Pili kama uongozi wa juu wa chama unamashaka wa waraka huo, basi nina imani kuwa wahusika si hao watatu tuu wapo wengi sana kwenye jambo hili, kwa kuwa huwezi kutengeneza mtandao wa ushindi wa watu watatu kisha ukasema mnataka kuchukua utawala kwenye chama, na nina imani hawa watu wajuu ambao wanatamkwa kuwa ndio wahusika wakuu si dhani kama wananguvu hiyo ila kuna watu ambao ndio wenye mkakati huu na hadi tunavyo ongea wapo ndani ya chama.

Hivyo bado kuna haja ya chama kuongea na kumaliza jambo hili kwa kuwa kama mwenyekiti kutamkwa vibaya kuna wabunge wao wengi tuu wamesha tumia kauli mbaya kuzidi hizo kwa utawala wa nchi na bado wanaonekana ni watu wazuri kwenye chama na nchi hii.

Niwakati wa kumaliza jambo hili, sioni kama ni afya kwa siasa za nchi hii kupoteza muda kwenye media kujadili jambo ambalo linaweza malizwa kwenye vikao vya ndani, pia sioni kwa nini chama kipoteze muda kutoa siku 14, na wakati huo kinaendelea kulalamika makosa hayo si ya kuvumiliwa hata kidogo, na fikiri ni upotezaji wa muda huna haja ya kumsikiliza mtu ambaye unasema ni muhaini na huwezi vumilia kosa alilo fanya zaidi ilipaswa mara moja kuwafukuza na chama kusonga mbele na mambo mengine na si siasa za kwenye mitandao ya kijamii, pamoja na vyombo vya habari.
 
wala huwezi nishawishi wala kunililia nikubali hii logic yako ya nyumbu:

Kuwa mhalifu mwenye nguvu zaidi asichughulikiwe..?
tokea ni join hii jf sijawahi ona mtu useless kama Nicholas yaani we umekataa kichwa chako kifanye kazi na nahisi ww ndio uvccm maana maana kila mtu akileta mada pata ya kukisaidia chama ww unachojua ni matusi na kejeli hauna hoja hata moja ambayo mtu anawezasoma aka learn kitu sometimea jaribu kutoka nje ya box think free na kama hauna hoja sio lazima kila thread humu uchangie na usipochangia watu wanajua upo mkuu please sio kila mtu ccm ndio anatoa maada humu kunawengi tu genuine wanataka kukisaidia chama kwa busara zaidi please hatujui uwezo wako wa elimu ila tumia hata ya kuzaliwa tu plus za mtaani least you can contribute something tangible hapa please.
 
Last edited by a moderator:
kama unahisi kama msimamo huu utakisaidia chama chenu basi endeleeni lakini kwa mwenye busara atajua nini kifanyike, alafu ni vizuri kukumbuka kuwa mzazi mzuri si yule anayemwadhibu mwanaye kwa adhabu kali kwa kila kosa analofanya! alafu si kwamba kwa kuwa sheria, kanuni, sera na taratibu zipo ni lazima tuzifuate kwa kila tukio kuna baadhi ya matukio busara na hekima zinafaa zaidi. Hivi unakumbuka zile vurugu zilizotokea bungeni siku ile baada ya Mh. naibu Spika Job Ndugai kumlazimisha Mbowe akae chini?! pale Job Ndugai alitumia kanuni na sheria za bunge badala ya busara na hekima na yale yaliyotokea yalikuwa matokeo ya kukumbatia sheria na kanuni na kusahau hekima na busara!

Kashauri chama chenu si CHADEMA
 
tokea ni join hii jf sijawahi ona mtu useless kama Nicholas yaani we umekataa kichwa chako kifanye kazi na nahisi ww ndio uvccm maana maana kila mtu akileta mada pata ya kukisaidia chama ww unachojua ni matusi na kejeli hauna hoja hata moja ambayo mtu anawezasoma aka learn kitu sometimea jaribu kutoka nje ya box think free na kama hauna hoja sio lazima kila thread humu uchangie na usipochangia watu wanajua upo mkuu please sio kila mtu ccm ndio anatoa maada humu kunawengi tu genuine wanataka kukisaidia chama kwa busara zaidi please hatujui uwezo wako wa elimu ila tumia hata ya kuzaliwa tu plus za mtaani least you can contribute something tangible hapa please.

wewe ni wale wadudu wanaotengeza kinyesi ch ang`ombe km mpira ili wauzungushe kuupeleka wapendapo kw akurudu kinyumbenyume?Ndio ambao wakikwama wanapoteza muda kibao kuzunguka katufe kwenda kuangali obstacle?pengine kw akuw ahivyo unaweza kuwa una kiasi cha usahihi..Lakini hii ya kuombea mabaya, ndipo kusaidia chama,utakuwa uanchukulia wenzawazimu for granted.
 
kaka umeongea yaliyoko moyoni mwangu na ninaamini yako ndani ya watanzania walio wengi wapenda mabadiliko. Natumaini walio na masikio ya kusikia na macho ya kuona wanasikia na kuona.

Upuuzi mtupu,kelele zote hizo unatamani mamluki wenu aendelee kubaki cdm huku akikihujumu chama? pambafu sana
 
karibia watanzania wote tunajua kile kinachoendelea ndani ya CHADEMA, na kama wote tukiamua tuiache hali hii iendelee hivi hivi mwisho wa CHADEMA hautakuwa mzuri!!! wengi wanaweza wakaiangalia hii hali kiushabiki na ki makundi lakini amini nawaambia kama hii ishu ikiendelea kuwa chini ya mikono ya kile kinachoonekana kambi ya Mbowe mwisho wake hautakuwa mzuri!!

Jana mh. Tundu Lissu alijaribu kufananisha hii hali na ile ya mwako 2000 kwa Dr Walid lakini alishindwa kuielewa tofauti ya hali ya CHADEMA ya mwaka 2000 na ya mwaka 2010s pia Tundu Lissu alishindwa kutofautisha nguvu ya Dr Walid kipindi hicho na nguvu ya Zitto Kabwe kipindi hiki, pia Lissu alishindwa kutambua maadui wa chama kipindi kile na maadui wa chama kipindi hiki! Ndugu wanaCHADEMA aidha kwa kupenda au au kutokupenda wote mnatakiwa kujua kuwa chama kipo kwenye wakati mgumu sana na hili kutoka salama katika kipindi hiki ni lazima busara itumike zaidi kuliko sheria, kanuni na taratibu.

WanaCHADEMA, katika hali hii mnahitaji kuwa na mtu mwenye busara zaidi na anayeheshimika sana katika chama chenu ili aweze kuwavusha salama katika hii hali la sivyo mtapotea! WanaCHADEMA mnaweza mkajiliwaza na support mnayoipata juu ya hayo maamuzi ya CC yenu lakini wengi mnashindwa kujua kuwa wale wote wanaosupport wako against Zitto mimi nahisi ili kujua ukweli jamii imepokeaje maamuzi yenu haya hebu jaribuni kufanya field reseach kwa tanzania nzima mtapata picha halisi ya namna gani wananchi wa kawaida wapenda mabadiliko walivyoipokea hii hali.

Kuna watu ndani ya CHADEMA hata hawana impacts kubwa sana ya ushawishi wa kura za wananchi wakipayuka na kuongea chochote juu ya hii hali jamii inawadharau but kunawatu wakiongea juu ya hii hali jamii inashtuka na kushangaa, watuamia mitandao ya kijamii mtakuwa mashahidi ni jinsi gani jamii ilivyopokea maneno ya akina Sugu na Msigwa juu ya hili sakata (wengi tuliwaqdharau kwa sababu tunahisi wao wenyewe tu hawajielewi) lakini wote ni mashaidi ni jinsi gani jamii ilivyopokea kitendo cha JJ Mnyika kujiingiza katika hili tatizo (Mnyika amewashtua wengi ni kwa sababu anaonekana kama mbunge anayejielewa na makini zaidi ya wabunge wote wa CHADEMA sasa kitendo cha yeye kujiingaza katika vita hii ya madaraka imemtia dosari kubwa sana(mnaweza pia kupinga kuwa hii sio vita ya kimadaraka lakini jamii tunaiona hii hali kama vita ya kimadaraka).

kutokana na hali hii gafla nimeingiwa na matamanio ya kutamani kitu kisichowezekana, natamani kama ningekuwa mzee Sabodo au mzee yeyote anayeheshimika ndani ya CHEDEMA na asiyefungamana na upande wowote (nisiwe mzee Mtei) Haki ya Mungu ningejitosa kuiokoa CHADEMA ningehakikisha amani, utulivu na mshikamono vinalejea CHADEMA bila kumuumiza mtu yeyote, ningehakikisha viongozi wanajenga hali ya kuaminiana na kupendana lakin pia ningeidumisha demokrasia ya ndani ya chama, ningehamasisha ushindani usio na chuki wala majeraha ndani ya chama, ningehamasisha kuheshimiana ndani ya chama baina ya viongozi kwa viongozi, viongozi kwa wanachama na hata kwa wanachama kwa wanachama lakini mazuri yote haya ya kuileta CHADEMA katika mstari siwezi kuyafanya kwa sababu am no body ndani ya CHADEMA, ila naamini wazee na watu wanaoheshimika ndani ya CHADEMA watapewa hekima hii na MUNGU WETU na kusaidia CHADEMA.

Acha unafiki. Zitto ameandaa waraka wa siri kupindua uongozi sasa huo ni utaratibu?. Mimi nasema hekima kutoka kwa Mungu ni kumng'oa huyo pandikizi la ccm.
 
Sasa nyie endeleeni kumpoteza huyo MM na hayo ma M mengine alafu hizo siku 14 ziishe ndo mtaijua Chadema sio Mbowe, Silaa wala Zitto bali ni Taasisi.

Atakapo poteza na nafasi yake ya ubunge ndio mtaanza kujua nini faida ya mdomo na hasara zake
 
tokea ni join hii jf sijawahi ona mtu useless kama Nicholas yaani we umekataa kichwa chako kifanye kazi na nahisi ww ndio uvccm maana maana kila mtu akileta mada pata ya kukisaidia chama ww unachojua ni matusi na kejeli hauna hoja hata moja ambayo mtu anawezasoma aka learn kitu sometimea jaribu kutoka nje ya box think free na kama hauna hoja sio lazima kila thread humu uchangie na usipochangia watu wanajua upo mkuu please sio kila mtu ccm ndio anatoa maada humu kunawengi tu genuine wanataka kukisaidia chama kwa busara zaidi please hatujui uwezo wako wa elimu ila tumia hata ya kuzaliwa tu plus za mtaani least you can contribute something tangible hapa please.

huyu si LEMA kwan hujui?
 
Last edited by a moderator:
Watanzania wa kizazi hiki hatudanganyiki, pigeni propaganda zenu lakini mjue mnapoteza muda, tutabaki na chadema yetu.
 
Mwanzisha uzi unataka kumaanisha zito na mwenzake hawakuwa na makosa ya kuwapelekea kuondolewa nafasi zao ndani ya CDM?
 
Back
Top Bottom