Nngechukua changu chap chap, nimuwahishe ka atathubutu kupanda. Ila changu kibindoni kwanza. Akifika, atanipa stori ya alikotoka kwani nilimwacha home nkaende kusakanya za kumlisha
Namwahisha nyumbani chap
Sitamsemesha chochote japo moyoni itaniuma sana
Nitatafuta Kalam Na karatasi ntaiandika talaka
Kwa sababu siwezi kuanza kujua katembea nae au la
Kitendo cha kumkuta guest Na mwanaume mwengine n wazi hafai Na ameivunja ndoa yake kwa mikono yake
Namsaidia kumfungashia ikibidi Na nitampakia kwenye usafiri wangu kumsogeza karibu na usafiri wa kumpeleka kwao
Unaguna nn SasaHmm!
Unaguna nn Sasa
Hebu weka yako tuone ungekua we ungefanyaje
Hahhaahahahha je vimenitosha? Nimeona Ila ukimya unaumiza sana kitendo cha kutomuliza jambo unamuumiza kihisia Na kisaikolojiaNimeshtushwa tu ulivyovaa viatu vyetu.
Tayari nishaweka. Soma tena.
Hahhaahahahha je vimenitosha?
Nimeona Ila ukimya unaumiza sana kitendo cha kutomuliza jambo unamuumiza kihisia Na kisaikolojia
Na hasa kama unajuwa mumeo nina bundukiAiseee kuna mambo mengine hata kuyawaza huwa sitaki
Mnayamalizaje na ushagegedwa..??Mi ningejisalimisha kwa mume tuyamalize
Namlainisha tu kiana anansamehe na ndo mwisho wangu wa kuchepukaMnayamalizaje na ushagegedwa..??