labda huwa unajisifia mafanikio makubwa mbele zao ndo sababu wanaona wakikupigia watahisi wanajipendekeza kwako
Labda wanafikiri maisha yako afadhali kuliko yao. Wanataka wakutumie. Marafiki wanaoweka pesa mbele si marafiki wema. Mwisho utakua ugomvi wa madeni. Hachana nao. Binadam wanachange ndugu, yule ulie muona mwema mwanzo leo ni hatari. Wengi wanakazi nzuri lakini mambazi pia. Na wanawake maofficer lakini wanajiuza, tamaa tu. Hawatosheki.
Ata kwangu jambo hilo hutokea best
Sio walipaji hao, so hawana wa kuwakopesha!