Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Baada ya utata kuhusu ukweli wa tuzo ya Forbes, nimekutana na hii link ambayo inanifanya nione huenda kuna ukweli fulani kuhusu hii tuzo.
Link:
Forbes: Rais Magufuli kuwania tuzo la mtu mashuhuri - BBC Swahili
Maswali:
Wametumia vigezo gani kuteua hawa wagombea?
People of Rwanda inawakilisha nini?
Mbona majina mengine hata umaarufu wake ni mdogo sana?
Unawezaje kumshirikisha Rais wa nchi na watu wa kawaida tu ingawa ni maarufu?
Kwanini tuzo hizi zisishindanishwe kwa kuwashirikisha watu wanaofanya kazi au shughuli zinazofanana?
Nikiri tu tuzo hizi huwa sizifutilii ila hiyo orodha ya washiriki kama ni ya kweli, mimi inanipa mashaka sana kama kweli kazi hii inafanywa na watu wasomi.
Hii issue kama ni kweli, basi huenda ikaibuka kashifa kwa waandaji na uchunguzi utafuata.
Link:
Forbes: Rais Magufuli kuwania tuzo la mtu mashuhuri - BBC Swahili
Maswali:
Wametumia vigezo gani kuteua hawa wagombea?
People of Rwanda inawakilisha nini?
Mbona majina mengine hata umaarufu wake ni mdogo sana?
Unawezaje kumshirikisha Rais wa nchi na watu wa kawaida tu ingawa ni maarufu?
Kwanini tuzo hizi zisishindanishwe kwa kuwashirikisha watu wanaofanya kazi au shughuli zinazofanana?
Nikiri tu tuzo hizi huwa sizifutilii ila hiyo orodha ya washiriki kama ni ya kweli, mimi inanipa mashaka sana kama kweli kazi hii inafanywa na watu wasomi.
Hii issue kama ni kweli, basi huenda ikaibuka kashifa kwa waandaji na uchunguzi utafuata.