Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,831
- 71,295
Mchezo wa mpira wa miguu ni jambo kubwa sana na wenye kujua limewapandisha kiuchumi, kiwatambulisha duniani na hata kuleta amani kwenye vita.
Tumeona wote jinsi taifa la Ivory Coast lilivyoandaa kwa mafanikio na kupendeza sana AFCON 2023 wakati wao ni taifa dogo kulinganisha na Tanzania.
Sisi tumechaguliwa kuandaa kwa pamoja na nchi zingine za East Africa, lakini kila ukiangalia utayari wetu na jinsi tunavyokuwa na mambo ya kienyeji kutokana na uwezo mdogo wa maarifa wa serikali hii ya CCM ni wazi tunaenda kukumbana na AIBU KUBWA pengine tokea mashindano hayo yaanzishwe.
Kwa kushindwa huku kwenye umeme,maji, miundombinu ya usafiri na mawasiliano na coordination kwa ujumla TUSIPOIONDOA CCM madarakani 2025 na kuweka wenye ubunifu basi kijacho ni AIBU ambayo tunaosafiri nje ya nchi hii tutakana utaifa wetu tukiulizwa.
Unajiuliza mbona hawa Ivory Coast tumewazidi kwa mengi lakini tunashindwa na wao wenye raslimali chache na kuna kipindi vita viliwaathiri?
Tuwatoe CCM na kama mnawapenda kwa kulishwa limbwata basi 2030 tuone kama hamu nao bado mnayo warudisheni.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Tumeona wote jinsi taifa la Ivory Coast lilivyoandaa kwa mafanikio na kupendeza sana AFCON 2023 wakati wao ni taifa dogo kulinganisha na Tanzania.
Sisi tumechaguliwa kuandaa kwa pamoja na nchi zingine za East Africa, lakini kila ukiangalia utayari wetu na jinsi tunavyokuwa na mambo ya kienyeji kutokana na uwezo mdogo wa maarifa wa serikali hii ya CCM ni wazi tunaenda kukumbana na AIBU KUBWA pengine tokea mashindano hayo yaanzishwe.
Kwa kushindwa huku kwenye umeme,maji, miundombinu ya usafiri na mawasiliano na coordination kwa ujumla TUSIPOIONDOA CCM madarakani 2025 na kuweka wenye ubunifu basi kijacho ni AIBU ambayo tunaosafiri nje ya nchi hii tutakana utaifa wetu tukiulizwa.
Unajiuliza mbona hawa Ivory Coast tumewazidi kwa mengi lakini tunashindwa na wao wenye raslimali chache na kuna kipindi vita viliwaathiri?
Tuwatoe CCM na kama mnawapenda kwa kulishwa limbwata basi 2030 tuone kama hamu nao bado mnayo warudisheni.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app