Mnyongeni Mnyonge
JF-Expert Member
- Mar 13, 2015
- 628
- 726
aah hawa jamaa wanambwembwe wallah utaona mav8 msibani utashangaa
Nikuulize mtoa mada
Unafanya kazi gani inayo kuingizia kipato chako cha kila siku????
NOTE: SIJAISOMA HATA THREAD YAKO YOTE, Nilipona neno wahaya tu, nikajua thread yako haina fact yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi inakuaje mtu unaleta utani hata kwenye vitu visivyohitaji utani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unatokea mikoa hiyo nilokutajia basi una uhalali wa hizi mbwembwe vinginevyo utakuwa na kauchawi flani amazing
Sent using Jamii Forums mobile app
walinitania kwenye msiba wa bibi angu hawa watu acha tuu niwazingue
mi ni engineering sitaki ushauri wako niache hivi hvi
nashukuru kwa kunielewa mkuu wengine wananitukana bila kujua
Hahahaaa...
Wewe ni engineering au wew ni engineer???
Ni sawa mm sishangai,
Kwan neno la Mungu linasema, "mshahara wa dhambi ni mauti."
Huwa sina huruma kabisa nikiona kifo knamkaribia au kimemfika mtu nisiye mjua.
Kwani wacha Mungu tutakutana mbinguni.
Sent using Jamii Forums mobile app