yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
Nikikumbuka mechi ijayo ya Simba na Yanga,kama namuona Mbuyu Twite akishangilia goli la tatu dakika ya 39 kipindi cha kwanza.
....Kama namuona rage akiondoka uwanjani mapema dakika za mwanzoni kipindi cha 2.
.....Kama namuona julio akipewa kadi nyekundu kwa kwa kuingia uwanjani kuzua pasi ya niyonzima isimfikie kavumbago akafunge goli la tano
....Kama nawaona mashabiki wasimba wakgombania mlango wa kutoka kabla ya mechi haijaisha,eti hawataki kuliona kombe la mabingwa.
....Kama najiona Nipo SIMBA KAPAKATWA PUB nikisherekea ubingwa kwa kula laga za kutosha tu.
....Ongeza ya kwako ukianzia neno KAMA
....Kama namuona rage akiondoka uwanjani mapema dakika za mwanzoni kipindi cha 2.
.....Kama namuona julio akipewa kadi nyekundu kwa kwa kuingia uwanjani kuzua pasi ya niyonzima isimfikie kavumbago akafunge goli la tano
....Kama nawaona mashabiki wasimba wakgombania mlango wa kutoka kabla ya mechi haijaisha,eti hawataki kuliona kombe la mabingwa.
....Kama najiona Nipo SIMBA KAPAKATWA PUB nikisherekea ubingwa kwa kula laga za kutosha tu.
....Ongeza ya kwako ukianzia neno KAMA