KAMA MWALIMU NYERERE ANGELIKUWA HAI LEO
Kwa Tanzanite peke yake ,kila mtanzania angesoma hadi chuo kikuu kwa gharama ya zawaidi hii(TANZNITE) MUNGU alioipa Tanzania peke
yake duniani.Jamani tuseme tu ukweli hata kama ni kufa,Nyerere pekee ndie mkombozi wa kweli kama Yesu, aliwahi kuwepo,na kwa mwendo huu wa sasa hakuna dalili ya ukombozi labda MUNGU afanye mabadiliko katiika uongozi wa nchi hii.MUNGU tunakuomba mabadiliko.