Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,362
Kama kichwa cha habari kinavyosema...
Ugumu wa maisha na umasikini wakati mwingine unasababishwa na manung'uniko yako binafsi...
Wakati mwingine manung'uniko huleta laana na ata kujizibia riziki...wewe kila siku unalalama mara ela ngumu..mara sijui magufuli kafanyaje....kiasi kwamba ata Mungu anakushangaa na mzushi as unashindwa ku-acknowledge ata kile kidogo anachokupa....
Embu kuwa mtu wa shukrani na ishi maisha ya kitajiri....ingawa wewe ni masikini then utaona mafanikio yake....
Nawasilisha...
Ugumu wa maisha na umasikini wakati mwingine unasababishwa na manung'uniko yako binafsi...
Wakati mwingine manung'uniko huleta laana na ata kujizibia riziki...wewe kila siku unalalama mara ela ngumu..mara sijui magufuli kafanyaje....kiasi kwamba ata Mungu anakushangaa na mzushi as unashindwa ku-acknowledge ata kile kidogo anachokupa....
Embu kuwa mtu wa shukrani na ishi maisha ya kitajiri....ingawa wewe ni masikini then utaona mafanikio yake....
Nawasilisha...