Kama Magufuli Anaangalia Clouds TV na Kuipongeza, Kunatuma Ujumbe Gani kwa TV yake ya TBC?!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,468
113,583
Wanabodi,

Kitendo cha Rais Dr. John Pombe Magufuli, kuangalia Clouds TV na Kuipongeza, kimeniacha na maswali mengi kuliko majibu, mojawapo likiwa ni kama rais anaangalia Clouds TV, nani anaangalia TBC?!.

Pongezi zake kwa Clouds Media pia zimetuma ujumbe mzito silently kwa TBC ambayo ndio TV yake na Redio Yake, kama Rais anatazama TV ya watu wengine na kuipongeza kwa kazi nzuri, vipi kuhusu TV yake?!, Kama rais hatazami TBC, na badala yake anatazama Clouds TV, na kuipongeza, then nani anatazama TBC?!.

Kitendo cha mwenye TV kutoiangalia TV yake, kinatuma ujumbe kuwa jee kuna uwezekano rais haangalii TBC kwa sababu inaboa?!, hivyo anaangalia Clouds TV kwa sababu imechangamka?!, na ndio maana amaipigia simu kuipongeza?!.

Au kunauwezekano, rais anaangalia TV zote ikiwemo Clouds TV na pia anaangalia tv nyingine ikiwemo TV yake ya TBC, na TBC pia inafanya vizuri, na inastahili pongezi za rais, lakini kwa vile TBC ni TV yake, kufuatia kanuni ya usijisifu, bali usubiri kusifiwa, then hata TBC ifanye vizuri kiasi gani, bado rais Magufuli, hataisifu kwa hoja, haistahili kusifiwa na rais, bali ameisifu Clouds kwa sababu ni ya wengine, na imefanya vizuri kuliko ilivyotarajiwa!.

Au pia inawezekana ni ile tabia tuu na yale mazoea ya mtu kudharau chake na kuthamini cha mwenzie?!.

TBC ndio TV pekee ya taifa, hivyo suala la rais ambae ndiye Mkuu wa nchi kuangalia TBC sio a matter of choice kuwa rais yuko huru kuangalia TV yoyote na kuipongeza, lakini kwa rais kuangalia TBC sio a matter of choice, ni compulsory as an obligation of duty, yaani ni wajibu rais wetu kuangalia TBC kwa sababu rais ndiye Editor in Chief wa vyombo vyote vya habari vya umma kwenye organization setup zao, hivyo suala la rais kuangalia TBC sio a matter of choice ni must, awe anaipenda au haipendi, iwe inamfurahisha au haimfurahishi, kuangalia ni wajibu, ila rais kuangalia TV nyingine zozote ndio a matter of choice na kwenye kupongeza pia its a matter choice kupongeza chochote kile kinachomfurahisha.

Rais kama alivyo Commander in Chief wa majeshi yetu ataonekana ni mtu wa ajabu kama atasifia tuu majeshi ya jirani na kukaa kimya kuhusu majeshi yake, kwa sababu kusifia has something to do with encouragement and boosting morale ya wapiganaji wetu, vivyo hivyo kwa hao wapiganaji wake kwenye sexta ya media.

Hongera sana Rais Dr. John Pombe Magufuli hongera sana for reality, simplicity, genuinity na being down to earth, kwa kupiga simu Clouds TV, kwa vile Clouds media ni "the peoples station, then you are A man of the people!. Lakini wakati ukipiga simu na kusifia cha mwenzio, nakuomba ukitupie jicho kile cha kwake, tena unapaswa kuiangalia kwa jicho tunduizi, kwa kujiuliza kama Clouds TV kuna vitu wanafanya kustahili pongezi ya rais wa nchi, what about TV yako mwenyewe ambao kuiangalia sio option, kusema utaangalia ile kitu roho inapenda, rais kuiangalia TBC ni obligation, hivyo itupie basi jicho TV yako iwe kama Clouds au hata kuizidi...!.

Paskali
 
Kiuhalisia TBC1 haina tofauti na redio Uhuru na magazeti ya mzalendo...

Inaboa na wala haimtamanishi MTU kuitazama!!! TBC1 ilikua enzi za Tido Mhando ila tangu wajuaji waingilie kati imekua kama Agape TV tuuu

Binafsi hata kwenye king'amuzi haipo na wala siihitaji....

Back to Magufuli alichofanya Leo kwa hadhi yake haikustahili kwakua kunatoa picha hafuatilii TV ya taifa ambapo seriously alipaswa aipe hadhi ya u taifa....

Sasa kuisifu TV ya kihuni kama clouds kumeleta tension kwa hao TBC!!
 
Wanabodi,

Kitendo cha Rais Dr. John Pombe Magufuli, kuangalia Clouds TV na Kuipongeza, kimeniacha na maswali mengi kuliko majibu, mojawapo likiwa ni kama rais anaangalia Clouds TV, nani anaangalia TBC?!.

Pongezi zake kwa Clouds Media pia zimetuma ujumbe mzito silently kwa TBC ambayo ndio TV yake na Redio Yake, kama Rais anatazama TV ya watu wengine na kuipongeza kwa kazi nzuri, vipi kuhusu TV yake?!, Kama rais hatazami TBC, na badala yake anatazama Clouds TV, na kuipongeza, then nani anatazama TBC?!.

Kitendo cha mwenye TV kutoiangalia TV yake, kinatuma ujumbe kuwa jee kuna uwezekano rais haangalii TBC kwa sababu inaboa?!, hivyo anaangalia Clouds TV kwa sababu imechangamka?!, na ndio maana amaipigia simu kuipongeza?!.

Au kunauwezekano, rais anaangalia TV zote ikiwemo Clouds TV na pia anaangalia tv nyingine ikiwemo TV yake ya TBC, na TBC pia inafanya vizuri, na inastahili pongezi za rais, lakini kwa vile TBC ni TV yake, kufuatia kanuni ya usijisifu, bali usubiri kusifiwa, then hata TBC ifanye vizuri kiasi gani, bado rais Magufuli, hataisifu kwa hoja, haistahili kusifiwa na rais, bali ameisifu Clouds kwa sababu ni ya wengine, na imefanya vizuri kuliko ilivyotarajiwa!.

Au pia inawezekana ni ile tabia tuu na yale mazoea ya mtu kudharau chake na kuthamini cha mwenzie?!.

Hongera sana Rais Dr. John Pombe Magufuli hongera sana for reality, simplicity, genuinity na being down to earth, kwa kupiga simu Clouds TV, kwa vile Clouds media ni "the peoples station, then you are A man of the people!.

Pasco.


Binafsi siamini kama kweli Raisi Magufuli aliamka tu asubuhi akaamua kupiga simu clouds, bali ni jambo ambao lilipangwa na hata clouds wenyewe walijua ni kama vile tu viongozi wa Marekani wanavyozukia ma talk show ya akina sijui David Letterman huwa kila kitu kimeshapangwa na hata maswali ya kuulizwa anakuwa alishapewa na kuyafanyia mazoezi!

Vivyo hivyo hapa clouds walijua kila kitu sasa kwa nini Magufuli aliamua kuwapigia simu clouds hilo analifahamu yeye mwenyewe na watu wake inawezekana kabisa ni moja kati ya ulipaji wa fadhila kwa wote waliojitolea kwa hali na mali kwenye kufanikisha ushindi wake ambapo clouds entertainment wana mchango wao mkubwa tu sana ukichukulia tayari Raisi Magufuli ameshakutana na wasanii Ikulu kwa lengo hilo hilo!

Kumbuka Raisi Magufuli ni mtu smart sana klk wengi mnavyodhania na hakuna kitu anachofanya ambacho hajakipigia mahesabu nakumbuka wakati alipokutana na Wasanii mpaka aliimba wimbo wa Malaika msanii ambaye hata hajulikani na mwenyewe Malaika hakuamni macho yake kwamba Raisi anamkumbuka, huyu Malaika alimtungia wimbo maalumu Magufuli wakati wa kampeni!
Ndiyo maana unaona hata aliwataja kwa majina watangazaji wa clouds yote hii ni kuwafanya tu wajisikie kwamba Raisi ni wa watu na anayejali maisha ya kila siku ya Mtanzania wa kawaida!


Raisi Magufuli atakuja kuwashangaza watu sana huko mbele, dont understimate him this guy is very intelligent kuliko mnavyodhani kila kitu anachofanya ukikichunguza kiko well calculated!
Kuna sababu kwa nini Mtu kama Mwapachu ameongea alivyoongea na kuamua kurudi CCM, mwanzoni walimu underestimate lkn wameona kwamba Magufuli ni namba nyingine kabisa!

Hivyo ndiyo ninayohisi ni sababu ya yeye Raisi na Mke wake kuwapigia simu clouds!


Kuhusu TBC hilo liko mikononi mwake na TBC itatoboa tu nina uhakika mipango iko jikoni!
 
Wanabodi,

Kitendo cha Rais Dr. John Pombe Magufuli, kuangalia Clouds TV na Kuipongeza, kimeniacha na maswali mengi kuliko majibu, mojawapo likiwa ni kama rais anaangalia Clouds TV, nani anaangalia TBC?!.

Pasco njoo huku, title ya thread imebadilishwa na contents zenye neno "dikteta" zimenyofolewa. Kwa ujumla uzi uliobaki ni kama umepostiwa na Lizaboni au MOTOCHINI vile
 
Anajisafisha kwa kauli zake za jana,
Kampe feedback kuwa ameharibu sana na asiseme tena watanzania wote ni wake,

Haya peleke feedback kurugenzi ya mawasiliano ikulu uvute chako fasta
 
Wanabodi,

Kitendo cha Rais Dr. John Pombe Magufuli, kuangalia Clouds TV na Kuipongeza, kimeniacha na maswali mengi kuliko majibu, mojawapo likiwa ni kama rais anaangalia Clouds TV, nani anaangalia TBC?!.

Pongezi zake kwa Clouds Media pia zimetuma ujumbe mzito silently kwa TBC ambayo ndio TV yake na Redio Yake, kama Rais anatazama TV ya watu wengine na kuipongeza kwa kazi nzuri, vipi kuhusu TV yake?!, Kama rais hatazami TBC, na badala yake anatazama Clouds TV, na kuipongeza, then nani anatazama TBC?!.

Kitendo cha mwenye TV kutoiangalia TV yake, kinatuma ujumbe kuwa jee kuna uwezekano rais haangalii TBC kwa sababu inaboa?!, hivyo anaangalia Clouds TV kwa sababu imechangamka?!, na ndio maana amaipigia simu kuipongeza?!.

Au kunauwezekano, rais anaangalia TV zote ikiwemo Clouds TV na pia anaangalia tv nyingine ikiwemo TV yake ya TBC, na TBC pia inafanya vizuri, na inastahili pongezi za rais, lakini kwa vile TBC ni TV yake, kufuatia kanuni ya usijisifu, bali usubiri kusifiwa, then hata TBC ifanye vizuri kiasi gani, bado rais Magufuli, hataisifu kwa hoja, haistahili kusifiwa na rais, bali ameisifu Clouds kwa sababu ni ya wengine, na imefanya vizuri kuliko ilivyotarajiwa!.

Au pia inawezekana ni ile tabia tuu na yale mazoea ya mtu kudharau chake na kuthamini cha mwenzie?!.

Hongera sana Rais Dr. John Pombe Magufuli hongera sana for reality, simplicity, genuinity na being down to earth, kwa kupiga simu Clouds TV, kwa vile Clouds media ni "the peoples station, then you are A man of the people!.

Pasco.
Inawezekana anaangalia ila hajapata nafasi ya kupiga simu
 
Back
Top Bottom