Lowasa amekuja UKAWA sawa,linaweza lisiwe tatizo sana.Nilichokitarajia mimi kukisikia ni Lowasa akifunguka kwa Watanzania
Lowasa aseme ile Richmond ilikuwa ya nani.Anasema alitolewa kafara,je huyo aliyemtoa kafara ili yeye apone ni nani?
Watanzania wana hofu..Wanahofu kumtoa fisi aliye half way kushiba na kumuweka fisi mwenye njaa
Lowasa funguka otherwise wengine tunaendelea kuamini wewe ni mwizi...Haitoshi tu kutuambia twende mahakamani...Ueleze what happened