Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
Iv mnadhani wale waombolezaji waliobeba na kupokonywa yale mabango jana walikuwa wajinga? Na wale wametumwa na chadema? Iv mnafikiri unyama waliofanyiwa watu huko kibiti wamewasamehe? Iv mnafikiri ndugu zake yule binti wamesamehe kwakuwa mmepeleka.viroba vya mchele pale? Anayechochea chuki ni yule aliyeenda kuropoka mambo ya hovyo kabisa kule zanzibar ati kisa maalim kakataa lutoaa mkono kwa mtu aliyempora? Huyu anayetukana hata viongozi waliomfikisha hapo alipo kisa frastrations.Kama kweli CHADEMA wanasimamia demokrasia basi huu ni mwisho wa dunia. Jesus is coming soon.Mimi ni shuhuda wa mbegu za chuki zilizoanza kupandwa toka alipopewa Mbowe nafasi ya Uenyekiti.
CHADEMA wa sasa hawana utu. Mitusi yao wanadhirisha chuki kuu dhidi ya utawala. Ukifikiria zaidi utajikuta ukiwahusisha na mauaji ya mamluki wa CCM ambao CCM tunawatumia kupata taarifa mbalimbali.
Kaa ukiamini kuwa kuwauwa na kuwabana watu ndio maendeleo hakika wakipumua siku moja kitakua kilio